tag:blogger.com,1999:blog-88722904232716196112024-03-05T15:47:00.821-08:00Daktari MapenziUnknownnoreply@blogger.comBlogger19125tag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-82685499932690170522016-10-16T03:35:00.000-07:002016-10-16T03:39:57.104-07:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanaume Amsahau Mpenzi Wake Wa Zamani Ili Aje KwakoNaamini hii hali ishawahi kukutokea wakati mmoja au mwengine, kuna mwanaume flani ambaye umependezwa naye lakini bado fikra zake ameziweka kwa mpenzi wake wa zamani. Ama umeanza kuchumbiana na mwanaume halafu baadae ukagundua kuwa huyu mwanaume mara kwa mara anamtaja mpenzi wake wa zamani katika maongezi yenu.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4zAw82TwT29a7c_mTrOow4LaLISjjhOmOmNbwH6H_F5ma57XPqAdAerfRvbFoGi5TfhR803Nn7RTXmL3CMV6jFK0IEu0VlBULTGdYZbXxsqjps7G8lVvvro3cg2JKOPr-cEAzkCpH/s1600/makeherneverwanttoleave.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="212" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4zAw82TwT29a7c_mTrOow4LaLISjjhOmOmNbwH6H_F5ma57XPqAdAerfRvbFoGi5TfhR803Nn7RTXmL3CMV6jFK0IEu0VlBULTGdYZbXxsqjps7G8lVvvro3cg2JKOPr-cEAzkCpH/s320/makeherneverwanttoleave.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Leo kama Daktari Mapenzi tumeamua kukomesha hili janga kwa kuja na mbinu madhubuti ambazo zitamzingiti mwanaume kama huyu ili aweze kukufikiria wewe pekeake na wala si mwingine.<br />
<br />
Zama nasi...<br />
<br />
<b>#1 Mpe muda.</b><br />
Wakati mwingine ni bora zaidi kumpa mwenzako time ili aweze kusahau matukio ya awali. Mwanaume ambaye ameachana na mpenzi wake wa zamani kwa kawaida inaweza kuchukua muda mrefu kabla kurudi kawaida. So iwapo kweli unampenda mwanaume flani basi mpe muda anaouhitaji ili aweze kumsahau mpenzi wake wa zamani. Hilo si jambo baya kufanya.<br />
<br />
Kumpa muda wa kufikiria kunasaidia kwa kuwa atakuwa anapoteza mawazo yake ya zamani na huyo mpenzi wake. Hakikisha unamkaa mbali kabisa ama anaweza kukuona kama nuksi ama kikwazo katika maisha yake.<br />
<b><br /></b>
<b>#2 Kuwa rafiki yake na umpatie sapoti anayohitaji.</b><br />
Jambo la kwanza la kufanya ni kuwa rafiki mzuri kwake. Ni kawaida kuwa na hisia za chini na mpweke wakati umetoka katika mahusiano. So ukiwa na tamaa ya kumrukia uanze mahusiano na yeye basi inaweza kukujeukia kwa sababu ishu zake bado hazijatatulika.<br />
<br />
Kwa sasa unachohitajika ni kumwonyesha kuwa wewe ni rafiki yake mkubwa, msikilize kwa kila kitu atakachokuambia na pia umpatie sapoti anayoihitaji. Kufanya hivi kutamfanya akuone kuwa unamthamini na kukuona kama mtu aliyekuwa karibu yake muda huu ambao umekuwa wa majonzi kwake. Hata kama mambo uliyotarajia yafanyike kama vile ulivyokuwa unataka hayakufanyika, haitakuwa ni tatizo kubwa coz tayari ushaweka msingi mzuri wa yeye na wewe katika maisha yenu.<br />
<b><br /></b>
<b>#3 Jiepushe asikuingize katika himaya ya urafiki</b>.<br />
Hapa ndipo kunakuja tatizo. Pindi utakapokuwa unaspend muda mwingi na yeye kwa kuenda kuangalia mpira pamoja, kutembea, kufanya shopping nk, tayari utakuwa ushaiteka atenshen yake. Lakini je, hii ndio atenshen umekuwa ukiitafuta?<br />
<br />
Tatizo linakuja hapa: kuwa makini sana usijeuke kuwa kama “mmoja wa wanaume” ama unaweza kuwa mmoja wa wale –marafiki zake. Hakikisha unamake effort ya kuonekana mrembo, kuvutia, kuwa na confidence, na kufanya wale wanaume wengine wakunotice. Mfanye akuone wewe kama mchumba ‘mtarajiwa’ kwa kutangamana kama marafiki na pia uwe unampa ishara fioa/fiche za kumvutia.<br />
<br />
<b>#4 Hakikisha mnajuana</b>.<br />
Ijapokuwa hauwezi kumlazimisha aingie katika mahusiano na wewe, huu utakuwa wakati mzuri wa kujuana bila ya presha yeyote. Nendeni mkale bata pamoja kwa kufanya mambo ambayo nyote wawili mnapenda. Hakikisha unaifanya inakuwa ya furaha, ucheshi, na kumpa mazingara ambayo hayatukuwa na vituko wala drama zozote.<br />
<br />
Kama tulivyotangulia kusema awali ni kuwa lazima uwe unatumia mbinu fioa kumwonyesha kuwa unapendezwa na yeye. Lakini usiwe na pupa la sivyo utamwogopesha.<br />
<br />
<b>#5 Kuwa makini na vichocheo</b>.<br />
Vichocheo vinaweza kuja kwa njia tofauti tofauti. inaweza kuwa marashi, sinema, nguo, mkahawa. Hivi vichocheo vinamkumbusha mpenzi wake wa zamani na jinsi walivyokuwa wakiinjoy maisha yao, jambo ambalo linaweza kuchubua vidonda vya moyoni ambavyo tayari amekuwa akijaribu kuviponesha.<br />
<br />
So kuhakikisha kuwa hautaamsha hisia za mpenzi wake wa zamani basi lazima uepukane na vichocheo hivi. Kwa mfano iwapo alikuwa akienda katika mkahawa flani na mpenzi wake, basi huo mkahawa usithubutu kujaribu kupitia na hapo. Mavazi, marashi, vipodozi ambavyo mpenzi wake alikuwa akivitumia hakikisha kuwa unaviepuka kabisa. Hakikisha anasahau kabisa kuhusiana na mambo kama haya. Ukifanikiwa kutimiza jambo hili basi utakuwa wakati mzuri wa kwako kuanza kuifuta akili yake pole pole.<br />
<br />
<b>#6 Mwache aexperience uhuru wake</b>.<br />
Kuna mambo ambayo mwanaume huyu alikuwa akikosa wakati alipokuwa na mpenzi wake. So wewe haupaswi kabisa kuwa kizingiti kwake kujaribu mambo mapya. Hii inaweza kuwa kama vile kutembea na marafiki zake nyakati za usiku, kusafiri sehemu za mbali, ama kuspend wiki nzima nyumbani huku akicheza gemu zake. Mwache ajihisi huru. Mpe sapoti yote ambayo anahitaji. Pia umuelewe shida na matatizo yake.<br />
<b><br /></b>
<b>#7 Jihusishe na activity za kimwili pamoja</b>.<br />
Aidha iwapo mnafanya mazoezi ama mapenzi, ni muhimu kuufanya mwili wake kuwa mchangamfu kila wakati ilimradi akili yake isijazwe na fikra za matukio ya awali. Kufanya mazoezi ya mwili kwa kawaida kunatoa misongo ya mawazo na kuleta hisia chanya kwa maisha.<br />
<br />
Unaweza kumchangamsha kwa kufanya mapenzi ambayo hajawahi kuyapitia tangu kuzaliwa kwake ama unaweza tu kuamua kumshawishi aachane na tabia ya kufagia nyumba yake badala yake muende gym kufanya mazoezi pamoja. Na usisahau kumuonyesha maungo yake vile ambavyo inastahili.<br />
<br />
<b>#8 Ichangamshe confidence yake.</b><br />
Mahusiano yake ya awali yanaweza kushusha kujiamini kwake. Anaweza kujiona hafai, na anaweza kuona kuwa hawezi kupata mwanamke mwingine mzuri kama mpenzi wake wa awali. Mjenge kwa kumsifia.<br />
<br />
Anza na mambo madogo madogo kama vile kuongea kuhusu hairstyle yake mpya, tai yake, halafu uanze kuongea zaidi kuhusu jinsi anaweza kumudu muda wake vizuri ama jinsi anavyokuwa na uhusiano mzuri na wenzake. Mfanye ajione kuwa yeye ni bora zaidi kwa kumpatia atenshen inayohitajika. Hakikisha unampa atenshen nzuri ili aweze kuwa na fikra chanya maishani mwake.<br />
<br />
<b>#9 Mpe nafasi ya kufunga ukurasa</b>.<br />
Mara nyingi mtu anashindwa kuachana na mpenzi wake wa zamani kwa kuwa bado hajapata nafasi ya kufunga ukurasa. Kama hii ndio hali inayomkumba mwanaume ambaye unatoka naye, labda huu ndio utakuwa wakati mzuri wa kumpa nafasi afunge chapta kabisa na mpenzi wake wa zamani. Kama anahisi kuenda tu kuongea na yeye, mpatie uhuru. Inaweza kuwa tishio kwake na kwako, lakini labda hili ndilo jambo kuu ambalo anahitaji ili aweze kumuona mpenzi wake wa zamani kuwa mtu asiyekuwa na thamani yeyote maishani mwake.<br />
<br />
Kumpa nafasi hii kunaweza kuwa mwisho wake wa kumfikiria mpenzi wake wa zamani kabisa.<br />
<br />
<b>#10 Kuwa wa thamani</b>.<br />
Unaweza kuwa umemsaidia muda huu wote aweze kumsahau ex wake na sasa fikra zake zote zimekuja kwako – lakini wewe umekuwa hapo tu kuuchezea wakati wake muda huu wote. Kama fikra zako ni kumchezea mwanaume huyu, tafadhali mpe nafasi aishi kivyake, usimtatize! Kufanya bidii kumsahau mtu halafu tena upitie janga lilo hilo ni jinamizi kubwa sana. Risk anayoichukua mara ya pili huwa inahitaji ujasiri wa hali ya juu, so hakikisha kuwa unakuwa thamani kwake kwa kuwa amejitolea kubahatisha kwako.<br />
<br />
Upo!?Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-31715511979485494342016-10-09T05:04:00.001-07:002016-10-09T05:04:39.495-07:00Jinsi Ya Kuwaepuka Wanaume Wanaokutongoza Ilhali UnawachukiaIshawahi kutokea kwa kila mwanamke ya kuwa kuna mwanaume mmoja ambaye anakutongoza ilhali unamchukia. Halafu mbaya zaidi ni kuwa mwanaume kama huyu haskii kabisa, kila ukijaribu kumkataa ndivyo anavyozidi kukuapproach.<br />
Mara nyingi huwa inaanza hivi. Anakuapproach, anakutongoza halafu unamkubali kiasi cha kuwa unataka kumsoma akili yake. Baada ya kutoka out ama deti mara kadha ukakuja kugundua kuwa mwanaume kama huyu ana matatizo flani ambayo wewe binafsi hukuyapenda. Unajaribu kumkaa mbali lakini unamwona hataki. Unajaribu kila mbinu za kumtenga lakini yeye anasistiza.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwGRPh5ZvsSEMZYRAo4UAaKW6EVbBwrJT4t-56d5yd_0Rr9tQOw9chsHTke4w4oix37ViJ7of5D9O97Oa1bKZs2Xed80JSsifGBC8puzquXq8X4DmNl_GkFh0LXDkajZaNLhqgMm0T/s1600/iStock_000001728804XSmall.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwGRPh5ZvsSEMZYRAo4UAaKW6EVbBwrJT4t-56d5yd_0Rr9tQOw9chsHTke4w4oix37ViJ7of5D9O97Oa1bKZs2Xed80JSsifGBC8puzquXq8X4DmNl_GkFh0LXDkajZaNLhqgMm0T/s1600/iStock_000001728804XSmall.jpg" /></a></div>
<br />
Well. Wakati ni sasa wa kumwambia akuache kabisa kwa kutumia mbinu zifuatazo.<br />
<br />
<b>#1 Mwambie kwa upole kuwa hujiskii na yeye.</b> Kama umegundua kuwa huyu mwanaume anayekuvizia ana matatizo lakini si tishio kwako, basi kumwambia ukweli ndio muhimu. Mwambie kuwa yeye ni mwanaume mzuri *hata kama sivyo*, lakini huko interested na yeye ndani ya moyo wako.<br />
<br />
Akiuliza ni kwanini, mwonyeshe utofauti wenu. Unaweza kumwambia kuwa wewe ni mtu unayependa kuparty ilhali yeye ni mtu anayependa utulivu, ama unaweza kumwambia wewe ana uraibu flani ilhali wewe huna. Anaweza kuuliza iwapo munaweza kuwa marafiki, lakini iwapo unataka pia kuhepa unaweza kumwambia kuwa itakuwa vibaya kuwa marafiki kwa kuwa tayari mumeanza vibaya.<br />
<br />
<b>#2 Usijibu simu wala texts zake. </b>Wakati mwanaume kama huyu amezuzulika na wewe, ama pia kuna wanawake wengine anaowaaproach, si lazima umpe maelezo kama ya hapo juu, bali unaweza kumwondoa polepole kwa maisha yako.<br />
<br />
Kitu cha kwanza cha kufanya ni kuhakikisha kuwa haujibu simu zake wala kumtext hata kama umeboeka. Ukiwa unajibu simu zake basi utakuwa unampa matumaini kuwa uko interested na yeye. Ukimzima baada ya muda flani bila shaka atakuja kuelewa – ama unaweza tu kumpa ile hotuba ya kuwa wewe na yeye hamuingiliani.<br />
<br />
<b>#3 Mblock katika mitandao ya kijamii.</b> Kando na kuwa hujibu sms zake wala simu zake, unapaswa kublock contacts zake zote katika mitandao ya kijamii ambazo unazijua. Kama unahisi kumblock utakuwa umevuka mipaka yakuonekana mbaya, na unaona si tishio kwako, basi angalau fanya kumdelete.<br />
<br />
Kumuweka katika contacts zako kutampa hisia ya kuwa nyinyi wawili mna connection aina flani, aidha ya kibinafsi au kikazi, hivyo kuona kuwa ni haki yake kuwasiliana na wewe.<br />
<b><br /></b>
<b>#4 Badilisha namba yako ya simu.</b> Najua utahisi vibaya kubadilisha namba yako ya simu, lakini kama mwanaume atakuwa anaendelea kukupigia simu na kukutext mara kadhaa kwa siku, ilhali tayari amejua kuwa huko interested na yeye, basi itakuwa jambo la kufanya ili kujiokoa.<br />
<br />
Pindi utakapojeuza namba yako, usijaribu kuiweka sehemu yeyote online, kwa sababu huyu mwanaume ama rafiki yake anaweza kuiona. Pia hakikisha kuwa marafiki zako hawapeani namba yako ya simu kwa yeyote.<br />
<br />
<b>#5 Jifanyishe kuwa una boyfriend. </b>Wakati mwingine huyu nuksi akifikiria kuwa una boyfriend, atatulia na kuachana na wewe kabisa na kufuata mwanamke mwingine. Hii ni kweli haswa iwapo huyu nuksi ni mwanaume mwoga ama mwenye haya.<br />
<br />
Ukianza kumwambia huyu mwanaume nuksi kuwa wewe hauko single, basi mwisho ataenda zake. Kama hatareact na hizi habari mpya, unaweza kutafuta mwanaume mwenye miraba halafu umfanye kuwa ni boyfriend wako wakati unamwona yuko karibu.<br />
<br />
<b>#6 Tafuta mbwa. </b>Hili si jambo la haja kwa kila mmoja, lakini kama una kazi na uko na nyumba yako, na unasumbuliwa na wanaume aina kama hii, basi inakufaa ufuge mbwa. Ukiwa na mbwa mkubwa halafu mwanaume kama huyu afikirie kukutembelea basi atajipanga coz mbwa katika nyumba yako atakuwa akikulinda wakati wote.<br />
<b><br /></b>
<b>#7 Safiri na marafiki zako. </b> Kama unaona mwanaume huyu nuksi anayatishia maisha yako, basi si vyema kusafiri ukiwa pekeako. Badala ya kusafiri pekeako, tembea mjini ukiwa na rafiki yako ama tembea ukiwa katika kikundi na rafiki zako.<br />
Ili mradi usitembee pekeako wakati wote basi utakuwa umeponea kusumbuliwa na mwanaume aina kama hii.<br />
<br />
<b>#8 Tafuta barabara mbadala za kwenda shuleni, kazini nk.</b> Kwa wale ambao wamezoea kutembea, ile barabara ya kawaida unayoitumia kutembea shuleni, kazini, ama katika shughli zako za kawaida zinaweza kukuelekeza moja kwa moja hadi kwa huyu mwanaume nuksi sehemu anakoishi, kazini ama sehemu ambazo anatembelea mara kwa mara. Kama anaweza kuwa na nafasi, anaweza hata kujiweka barabarani maksudi ili tu apatane na wewe.<br />
<br />
<b>#9 Vaa kofia na miwani.</b> Kuvaa miwani na kofia wakati mwingine husaidia kujificha kutokana na mwanaume aina kama hii. Mwanaume huyu hawezi kukusumbua iwapo hataweza kukutambua wewe. So ni muhimu kuvalia hivi iwapo unaenda sehemu ambazo unaweza kutana na wanaume kama hawa.<br />
<b><br /></b>
<b>#10 Mjulishe mwajiri wako na wenzako.</b> Kama haijubi simu zake, wala kumtext ama online, kuna uwezekano mkubwa jamaa kama huyu kuweza kwenda katika sehemu yako ya kazi. Kama unashuku kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kwake kuja sehemu unayofanya kazi basi ni bora zaidi kumjuliza mwajiri wako na wenzako ili wakati ambapo atajaribu kuja sehemu unayofanya kazi ataambiwa aende zake.<br />
<br />
Bydaway, kama unadhania mwanaume kama huyu anayekusumbua hajui sehemu unayofanya kazi basi unakosea, wanaume kwa kawaida wana taaluma ya juu ikiha kwa kutafuta kile wanachotaka.<br />
<br />
<b>#11 Tafuta mwanaume mwengine akusaidie ili amalize mawasiliano yenu</b>. Tofauti na wanawake, wanaume huwa wanareact haraka iwapo utawaomba usaidizi kama unasumbuliwa na mwanaume mwingine. Kama huyu mwanaume anakusumbua bila kukuacha basi unaweza kumwambia mwanaume unayemwamini haswa kama ni ndugu yako, mtu unayehusiana naye ama rafiki yako wa kiume.<br />
<br />
Wakati wa kuchagua mwanaume kama huyu hakikisha kuwa ana uwezo mkubwa wa kushawishi ili aweze kumwambia huyu mwanaume msumbufu aachane na wewe kabisa. Hakikisha pia huyu mwanaume ana nguvu na uwezo wa kukabiliana na mwanaume kama huyu.<br />
<br />
<b>#12 Wahusishe polisi. </b>Hii ndio suluhisho la mwisho kabisa na linapaswa kutumika katika hali zile nzito kabisa haswa kama umeona kuwa mwanaume kama huyu amekuwa tishio kwako na umejaribu kila hatua umeshindwa. Kama umeamua kuwapigia simu polisi jipange tayari kutoa ushahidi wote ambao utahitajika kama vile jumbe alizokuwa akikutumia.<br />
<br />
So haya ndio mambo ambayo yanaweza kutumiwa kuhakikisha kuwa unakabiliana na mwanaume yeyote aina hii.Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-55543696405389509392016-10-08T02:08:00.000-07:002016-10-08T02:44:16.709-07:00Mambo 13 Ambayo Humfanya Mwanaume Kuwa Boyfriend Material<div class="MsoNormal">
Wanaume ni wengi ambao watakuapproach. Wengine ni wazuri
umependezwa nao na wengine hujapendezwa wao. Lakini je, utajuaje ni mwanaume
yupi anayefaa katika maisha yako? Kuna wanawake wengi ambao wamekabiliwa na
mateso ya kuachwa na mwanaume mmoja hadi mwingine kisa ni kuwa hawajui
kuchagua. Si kila mwanaume anayekuappoach na kukutongoza unapaswa kumkubali.
Kile kinachohitajika kwanza ni kuhakikisha kuwa unamsoma na kuzijua tabia zake
kabla hujaamua kumkubali. <o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFlUgInrenYpP5IFb1jrj6lNb6S0gbv9xoyH6shjyUHdSXLjvbeyPbqsqeNI2ZGQVNhCloX0VUyfPTTsqP-0Cy69c0vsZLLgPBou6lMhZib_TEa-OCIeOC_hT2-OsZLwGafJjASbTI/s1600/boyfriend-material.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="184" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFlUgInrenYpP5IFb1jrj6lNb6S0gbv9xoyH6shjyUHdSXLjvbeyPbqsqeNI2ZGQVNhCloX0VUyfPTTsqP-0Cy69c0vsZLLgPBou6lMhZib_TEa-OCIeOC_hT2-OsZLwGafJjASbTI/s320/boyfriend-material.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Hapa Dakari Mapenzi tumekuja na vigezo vya kuangalia na
kuchunguza kabla ya kumchagua mwanaume.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Zama nasi...<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Huwa anapanga mambo na wewe.</b> Ukimwona mwanaume ambaye anakuhusisha katika
maamuzi yake basi fahamu hapo ndipo. Mwanaume ambaye atakuambia na mapema
kuhusu mambo anayoyapanga wikendi ya kutoka pamoja basi jua huyu ni mwanaume
ambaye anaonyesha dalili za mwanaume bora.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Anakumbuka mambo masuala ambayo uliyazungumza kitambo na
kuyaleta katika mazungumzo yenu.</b> Hapa sio siri. Kila mwanamke anapenda mwanaume
ambaye anakumbuka mambo ambayo alimwambia ama alimfanyia kitambo. Mfano
mwanamke husisimka haswa wakati ambapo mwanaume anamwambia jinsi mara ya kwanza
walipokutana na jinsi alivyovalia. Hii ni ishara dhabiti ya kuonyesha mwanaume
kama huyu anakudhamini. Ukimwona mwanaume ambaye hakumbuki hata jina lako basi
huyo mueke mbali sana.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Haangalii picha zako fb/instagram pekee bali pia ana
comment.</b> Kama unazungumza na yeye kwa comments zako bila tatizo basi huyu hata
mnaweza kuoana naye hapo hapo :)<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Kukutumia na kujibu text zako si tatizo.</b> Ukiona mwanaume
anachukua karne nzima kabla kukujibu text yako basi hapo atakuwa labda anawengine
anaowaweka umuhimu zaidi kukuliko. Lakini ukimwona anamakinika na wewe katika
kila jumbe basi hapo ndipo, usichelewe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Yuko serious na maisha yake ya mbeleni.</b> Mwanaume ambaye
anayapanga maisha yake ya mbeleni ni mwanaume bora kati ya wote. Hii ni ishara
ya kuonyesha kuwa mbeleni hataki kupitia mateso yeyote wakati ambapo atakuwa na
kipenzi chake ubavuni mwake. Hivyo wewe unapaswa kuchukua jukumu la kuhakikisha
kuwa unayafanikisha maisha yake ya usoni kwa kuwa naye.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Hajali iwapo anaonekana mshamba akiwa anadensi.</b> Utafiti
unaonyesha kuwa wanaume ambao hawajui kudensi karibu mara zote huwa ndio
wanakuwa boyfriend bora zaidi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Anampenda mamake na yule mama mboga.</b> Iwapo mtu anawapenda
wanawake ambao waliyafanikisha maisha yake na pia wale ambao waliyafanya maisha
yake kuwa rahisi, basi pia kwako atakuwa mzuri. Hili ni jambo ambalo
limefanyiwa uchunguzi wa kina.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Anapenda wanyama.</b> Ok ni kusema tu, kuna kitu flani
ambacho kinajitokeza wakati unapomwangalia mwanaume mkubwa akimbabaikia paka mdogo
ambaye analia. “NI LAZIMA UMDETI MWANAUME AINA HII HARAKA SANA.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Anakufanya ucheke</b>. Kila mwanaume atafanya juu chini
ucheke. Hivyo iwapo unamwona mwanaume anajikakamua ucheke usijilazimishe.
Hakikisha kicheko chako kinatoka naturally kwa mambo ambayo yanakufanya ucheke.
Anyway, ukimwona mwanaume anakupendeza
na vicheko vyake basi ni ishara ya kuwa ni mbora.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#10 Nyote wawili mnazimia kipindi kimoja cha runinga.</b> Hii ni
ishara ya kuwa nyote wawili mko na interest inayofanana, so mkiungana kuwa kitu
kimoja pia si vibaya.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#11 Haongea ubaya kuhusu mpenzi wake wa zamani.</b> Mwanaume
ambaye anatabia za ujentleman basi haitawahi kutokea hata siku moja ambapo
atamtukana ama kumkejeli mpenzi wake wa zamani. Ukiona mwanaume ana tabia kama
hii achana naye mara moja coz pia wewe atakufanyia vivyo hivyo.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#12 Anawaheshimu wanawake.</b> Mwanaume anayewaheshimu wanawake
bila shaka naye atakuheshimu. Hivyo basi usitupe mbao wala kumkataa mwanaume
aina kama hii, ni wachache sana hapa duniani.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Hivi ni baadhi ya mambo ambayo ni dalili ya kuonyesha kuwa
mwanaume flani anafaa kuwa boyfriend wako. Na si lazima aonyeshe ishara hizi zote ndio
umwone anakufaa, la. Iwapo ataonyesha baadhi ya ishara hizi basi usingojee
mpaka apoteze tamaa kutoka kwako.<o:p></o:p></div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-56039074935343492422016-10-08T02:05:00.000-07:002019-02-11T08:41:11.538-08:00Mbinu 30 Rahisi Za Kutongoza Ambazo Unaweza Kutumia Kwa Mwanaume Yeyote<div class="MsoNormal">
Kando na kuwa ni jukumu la mwanaume kumuapproach na
kumtongoza mwanamke, ni muhimu pia kwa mwanamke kutambua kuwa aliyelala
haamshwi. Usitarajie mwanaume awe na uwezo wa kutambua kuwa umependezwa naye au
la. Ni wajibu wako angalau mara moja au nyingine uhakikishe unatuma ishara fioa
kwa mwanaume ili naye pia awe na interest na wewe.<br />
<o:p></o:p><br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiw2OyOFijFw-I4JnoXH8nBCWcJDKx36eIAo5qOWCeI5boPP2UFHbxqYZMhdQ3OkaQPnczRRHhPQdWjQEBjKykbxcFQhZkmsUlxdiBkb2b1afzV1q5CcMpWTvaWf_lWy76t8QnkBJsq/s1600/2-Friendly-Flirt-party-flirting-tips-1210-mdn-225x300.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiw2OyOFijFw-I4JnoXH8nBCWcJDKx36eIAo5qOWCeI5boPP2UFHbxqYZMhdQ3OkaQPnczRRHhPQdWjQEBjKykbxcFQhZkmsUlxdiBkb2b1afzV1q5CcMpWTvaWf_lWy76t8QnkBJsq/s1600/2-Friendly-Flirt-party-flirting-tips-1210-mdn-225x300.jpg" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
So utatumia mbinu gani mpaka mwanaume akutambue kuwa uko
interested na yeye? Hizi hapa ni baadhi ya mbinu ambazo ni rahisi za kufanya
ambazo zitamfanya mwanaume aanze ama afikirie kukuapproach mara moja.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Msogelee. </b>Halafu
uvunje vizingiti vya macho kwa kumuangalia machoni kwa muda mrefu halafu kwa
mdomo wake. Hii ni ishara fioa (fiche) ya kumuonyesha kuwa uko wazi kwa yeye
kukupiga busu.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Tafuta nyimbo ya
utambulisho kwako. </b>Cheza nyimbo ambayo itakuwa utambulisho wako na
uhakikishe unafanya mazoezi kwa nyimbo kwayo. Halafu wakati utakapoiskia nyimbo
hio ukiwa out ama katika sehemu flani, utajihisi confidence na poa – na kukupa
ujasiri wa kusalimia yule anayependeza kati ya wote.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Valia vipuli
vikubwa na vya kumeta. </b>Hii inavuta atenshen kwa shingo yako ya upanga – na
pia ni mbinu fioa ya kuonyesha ngozi yako.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Weka ubani ama
ball gum kwa mkoba wako. </b>“Unataka moja?’ ni tamshi rahisi ambalo
litachangia mazungumzo.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Onyesha upande
wako wa furaha. </b>Wakati umeenda sehemu ambayo umemwona mwanaume unayemzimia,
ni bora uonyeshe ule upande wako wa furaha. Cheka na wenzako, furahia nk.
Akikuona tu atakuappoach.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Jifunze stadi ya
kujigongesha mbele ya umpendaye. </b>Wakati umemtambulishaunayemzimia, tembea
ule upande alioko halafu ujigonganishe nayeye kana kwamba hukumuona. “Oh,
samahani. Pole – huwa najisahau mara nyingi ninapozungukwa na wanaume
wakupendeza.” Halafu jitambulishe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Panga deti ya hapo
kwa hapo. </b> Mtext “Natamani chips na
kebab!! Nataka uache kila kitu sahizi unipeleke katika mkahawa? :)”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Mtese kiasi. </b>Mfano:
Wakati aliyekupendeza anakwambia jina lake ka mara ya kwana, sema, “Wasema?”
ili apate kuegemea karibu yako aweze kujirudia kwa mara nyingine. Halafu sema, “Nini?” huku ukitabasamu.
Utakuwa umeyaanzisha maongezi yenu na ucheshi. <o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Jifanyie mazoezi
ustadi wako. </b>Ingiza mbinu yako uliyobobea ya kusuka mara moja au nyingine,
kama vile wafanyavyo wahudumu wa kike hotelini. Amini usiamini hili litaongeza
confidence yako wakati unapoongea na mtu unayempenda.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#10 Mwache akuone
unamchungulia. </b>Wakati na wao watakuangalia, tabasamu – itawapatia ile hamu
ya kutaka kukuapproach.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#11 Kuwa interested. </b> Wakati anapoongea na wewe hakikisha kuwa
unaonyesha interest yako kwa kumuuliza maswali ili na yeye apate nafasi ya
kujibu.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#12 Hifadhi mzaha
mmoja. </b>Hii itakuhakikishia kuwa mazungumzo yenu hayatakwama mahali flani.
Na pia iwapo utamfanya acheke basi atakukubali kirahisi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#13 Mwagize mtoke out
kibahati mbaya. </b>Mtext “Leo usiku una plans gani?” Akikujibu, mwambie,
“Samahani huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa rafiki yangu – lakini hakuna shida,
wewe kwaendaje?” Kumwambia hivi kutamfanye afanye ziada.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#14 Angalia nguo
zake. </b>Muulize timu anayoipenda, mchezaji, gemu nk kutokana na mavazi yake.
Bila shaka atagundua kuwa umemnotice.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#15 Jipulize marashi
kwa shingo yako. </b>Hii bila shaka mwanaume unayemzimia atagundua tu.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#16 Tabirika wakati
mwingine. </b>Ule wakati ambao umejigongesha maksudi mbele ya mwanaume,
hakikisha kuomba radhi kwako unakuzidisha kiasi cha kuwa atagundua unajaribu
kufanya maksudi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#17 Andika jumbe
katika Instagram yake. </b>“Hii picha inachekesha. Hivi ulikuwa unafanya nini
hapa?” Wakijibu sema’ “Unapaswa kuniambia ana kwa ana. :) Wataka hii wikendi
tumeet ama?”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#18 Usimjibu. </b>Jaribu kuitumia hii mbinu. Wakati ambapo
anakutext, usijibu kila swali ambalo atakuwa akikuuliza. Acha maswali mengine
yakielea. Hapa utakuwa unampa wakati wa kukufukuzia zaidi kutaka kukuelewa.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#19 Facebook sinema,
vipindi ama gemu ambazo unataka kuziona. </b>Kama yuko interested na moja wapo ya hizo
basi atapata kisababu cha kutaka mkutane.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#20 Mtambulishe
mvulana anayependeza kwa marafiki zako. </b>Mbinu hii itakupa nafasi kwa
marafiki zako nao kutambulisha wavulana warembo kwako na utakuwa na nafasi ya
kuongea nao.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#21 Pitisha karatasi
iliyoandikwa kwa mkono katika party ambayo inasema, “Nilikuwa nakusalimia!” </b>Ipitishe
kwa mfuko wake - hii inafanya maajabu
zaidi kuliko text za kawaida.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#22 Msuke kabla
hujamuona. </b>Mtext umwaambie, “Unapaswa kuvalia ile tsheti ya blue leo usiku
– inayafanya macho yako yapendeze.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#23 Mtie
wasiwasi. </b> Hivi ndivyo vya kufanya: Mara ya kwanza
umpendaye anapokutext, mjibu, “Wewe ni nani?” Atakapojieleza,sema, “Lo! ntakosaje
kukutambua?!? :)” Atavutika.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#24 Mpe wakati mgumu.
</b>Wakati ambapo anaonyesha dalili za kukutongoza usikubaliane na yeye hapo
hapo. Msumbue na umpatie wakati mgumu mpaka ile siku utaona imefikia wakati wa
kumkubali.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#25 Mfanye atake
zaidi. </b>Wakati ambao unataka kumuwish gudbye, fanya kumsogelea kana kwamba
unataka kumbusu lakini nenda hadi kwa sikio lake na umwamnie’ “Usiku mwema.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#26 Mtumie jumbe ya
kumsuku pindi tu atakapokupatia namba yake ya simu. </b>Hii itamshika kwa
saprise. Mfano akikupa namba yake unaweza kumtext neno, “Una tabasamu zuri. Hii
ndio namba yangu.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#27 Waite. </b>Wakati
umenotice kuwa kuna mtu anakuangalia, mwonyeshe kuwa uko interested naye na
utakuwa na confidence ya hali ya juu. Unaweza kutoa mzaha kama, “Tafadhali
usuniambie kama umeona kitu katikati ya
meno yangu” Hii itamfanya acheke.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#28 Mtumie picha ya
sinema flani. </b>Halafu mwambie “Sinema ya saa kumi – wataka twende? Nitagawa
bisi zangu ikiwezekana.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Well, hizi ni baadhi ya mbinu ambazo unaweza kutumia iwapo
unataka kumsuka mwanaume yeyote. Usiogope. Aliyelala haamshwi.<o:p></o:p></div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-5276049229321651332016-10-08T02:02:00.000-07:002016-10-08T03:00:09.029-07:00Ishara 12 Za Kuonyesha Iwapo Rafiki Yako Amekuzimia<div class="MsoNormal">
Ushawahi kuwa na rafiki yako, ama una rafiki ambaye tabia
zake sikuhizi zimebadilika? Tabia zake zimekuwa tofauti na kama alivyokuwa
zamani? Rafiki yako huyu umemuona amejeuka ghafla kukupa atenshen yake yote
kwako?<o:p></o:p><br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2tT2GXrKaDZIm9XQok2n_bPRu3otmZPMZk44u31igve3C9QmWMxkNeo_FTt4PXEcV85mWDLjX-sytp7V_uMj2zsvPkrycPAXcGPcEigix1PyKlB9FAOzpfp7WRPWJJ6hCMZci111p/s1600/How-to-tell-if-a-guy-likes-you.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2tT2GXrKaDZIm9XQok2n_bPRu3otmZPMZk44u31igve3C9QmWMxkNeo_FTt4PXEcV85mWDLjX-sytp7V_uMj2zsvPkrycPAXcGPcEigix1PyKlB9FAOzpfp7WRPWJJ6hCMZci111p/s320/How-to-tell-if-a-guy-likes-you.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Well, inawezakuwa amependezwa na wewe kiasi cha kuwa
anatamani muwe pamoja. Labda amefall na wewe. Hizi hapa ni baadhi ya mambo
unapaswa kuyaangalia kwa rafiki yako utambue iwapo amekuzimia au la.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Wakati wanapojibu
texts zako wanatumia muda mfupi sana ama muda mrefu kupita kiasi. </b>Kama
anakuchukulia kama rafiki yako wa kawaida basi texts ama jumbe zake huwa
anakutumia kwa mwendo wa kawaida. Lakini kama iwapo ana hisia na wewe utaona
ukimtumia jumbe anakujibu papo hapo, yaani chini ya sekunde moja :) , ama
watapiga hesabu ya kila masaa 5 na dakika 24 ndio wakutumie text nyingine
(yaani kuonyesha kuwa wanapendezwa wakiwa karibu yako)<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Wanakutumia text
nyingi zaidi. </b> Hii ni dalili moja
kubwa kwa rafiki yako. Sana sana wao ndio wanaoanzisha maongezi na pia
wanakutumia jumbe kwa wingi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Kila wakati
wanakuuliza kama unapendezwa na mtu. </b>Mara nyingi maswali haya watakuuliza
wakati usiku wa kiza umewadia na kila kitu kimetulia, nyinyi wawili pekeenu
mkiwa mnachat.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Wanasistiza kuwa hawajapenda mtu kwa sasa. </b>Kwa
kawaida watasema haya yote kwa kuwa tayari washayalenga macho yao kwako
wakiangalia iwapo utawakubali au la.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Hawamkubali yule
unayemzimia ama unayedeti. </b>Ushawahi kuwa katika deti flani halafu rafiki
yako kila wakati anamkashifu unayempenda? Ama kila wakati unapomtajia mwanaume
unayemzimia anakasirika ama atakatiza maongezi yenu? Well, hii ni ishara ya
moja kwa moja kuonyesha kuwa rafiki yako anakupenda wewe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Wanakualika
muspend wikendi pamoja mkiwa pekeenu. </b>Kama urafiki wenu pamoja na huyu
rafiki yako ulikuwa wa kutangamana na marafiki wengine lakini ghafla wanakualika
muspend Jumamosi nyinyi wawili pekeenu basi hio ni ishara ya moja kwa moja kuwa
kuna kitu kimeanza kupikika. Mukiwa pamoja na marafiki zenu kuna maanisha kuwa
atenshen yote itakuwa kikundini, lakini mukiwa nyinyi wawili itabakia nyinyi
wawili. Ishara ya kuwa anakutaka uwe wake kabisa.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Mara moja anaanza
kukusifia kiundani. </b> Mumezoea kuwa
kila wakati mkiwa pamoja mnaongea kuhusu yule mvulana msiempenda ama habari za
udaku, lakini hii siku moja ameanza kukusifia sifa za kama “Waa! nywele zako
zinanukia utamu.” Halafu hawakwambii jambo hilo tena.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Wanatafuta
visababu vya kukugusa. </b>Wakati ambapo umeangusha neno la kuchekesha,
wanakugusa kwa kukugonga mkono. Wakati ambapo hawajakuona kwa muda wa siku
nyingi anakukumbatia kwa nguvu kiasi cha kuwa unahisi joto lake. Kweli, hapo
kunaweza kuwa na mambo mawili...aidha ni rafiki aliyezoea miguso ama kuna
ajenda ya kuwa amependezwa na wewe. <o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Watu wanawauliza
iwapo mnadeti. </b>Ama pia wanaweza wasiwaulize sababu wanachikulia nyinyi
wawili mnadeti.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#10 wakati flani
wanaleta mzaha nyote wawili mtoke out pamoja. </b>Wanaweza kusema “Ok, kwa kuwa
leo ni wikendi hatuna kitu cha kufanya. Wewe uko single na mimi niko single, si
tutoke out lakini tuifanye kama deti vile, twende kwa kwa mkahawa halafu twende
sinema tukajienjoy. Kirafiki?”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Hapa moja kwa moja hamaanishi kuwa ni mzaha bali anataka
kujua reaction yako itakuwa vipi. Ukikubali basi atapata nafasi ya kukusogelea
zaidi na zaidi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#11 Wanataka mpige
picha pamoja. </b>Je hii ni ishara ya kuwa anakupenda? La. Kila siku watu
hupiga picha mara kwa mara. Lakini kama wataanza kuiweka mikono kwa bega ama
kiuno halafu siku ya pili unaiona kwa instagram, ni ishara ya kuwa anakujali –
na labda ni zaidi ya kuwa marafiki.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#12 Wanakufanyia
favour nyingi sana. </b>Kwa mfano anakusindikiza hadi nyumbani kwenu hata kama
mnaishi mtaa wa pili na pia kukulipia bili zako za hotelini. Anakusaidia
kutafuta vitu vyako ulivyosahau pale ulivyoweka na kadhalika...<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Well. Hizi ni dalili daharihi kuonyesha kuwa kuna kitu
ambacho rafiki yako anahisi kwako. Je wewe utachukua hatua gani?<o:p></o:p></div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-32588576537998881912016-10-08T02:00:00.002-07:002016-10-08T03:08:13.193-07:00Jinsi Ya Kumshawishi Mwanaume Akuoe <div class="MsoNormal">
Kumfanya mwanaume aweze kuwa na majukumu ya kimaisha ni
vigumu, lakini hizi mbinu ambazo tuko nazo za kumfanya mwanaume akuoe
zitahakikisha umesimama na yeye madhabahuni haraka sana.<o:p></o:p><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIhr5eweTvJ-BhFopD-sQ-0ibPxJPpaeuXxzzDQ-GUhhoq8Dr_hivkikSl3rI4LWNi3q2rORwZlhIzt4RleuwyS8yrw1mMA2-jjxSN-W6NNjwbvfX3IBTp1RIQWYgu7Bzihn4TopyX/s1600/shutterstock_143592403.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIhr5eweTvJ-BhFopD-sQ-0ibPxJPpaeuXxzzDQ-GUhhoq8Dr_hivkikSl3rI4LWNi3q2rORwZlhIzt4RleuwyS8yrw1mMA2-jjxSN-W6NNjwbvfX3IBTp1RIQWYgu7Bzihn4TopyX/s320/shutterstock_143592403.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Hivi wewe umekuwa katika mahusiano na mwanaume kwa muda
mrefu mpaka unaanza kushuku iwapo huyu mwanaume yuko serious na wewe ama
anakuchezea tu? Na umekuwa kila siku ukimwomba Mola akusaidie angalau amfanye
huyu mwanaume ulie naye atoe ishara za kuwa atakuoa mbeleni><o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Well, sote tunajua kuwa ndoto ya kila mwanamke ni kuwa siku
moja katika maisha yake atakuja kuolewa kwa harusi...so sisi hapa tunataka
kukupa maujanja ya kumfanya huyo mwanaume atake kukuoa haraka sana.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Zama nasi...<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Kuwa girlfriend kamili. </b>Hivi wewe na mwanaume huyu mumekuwa na maisha ya fanaka. Nyote
wawili mumeinjoy maisha ya furaha, mumezama katika mapenzi, na unaona kwamba
una uwezo wa kumwambia kila kitu ambacho unakifikiria. Lakini hebu ngoja kidogo
na ufikirie mambo ambayo unaweza kufanya zaidi ya hayo. <o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Mfanye ajihisi kuwa anakubalika, yuko salama na special,
haya ndio mambo ambayo anahitaji zaidi. Bila shaka utakuwa unamjua zaidi ya mtu
yeyote yule. Kile ambacho anapenda na kuchukia, na mambo ambayo yatamfanya
akuone kuwa wewe unapendeza zaidi ya kitu chochote kile.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Hakikisha unafanya kila kitu ambacho mwanamke kamili anaweza
kufanya. Mwonyeshe kila kitu ambacho anahitaki, na bila shaka atakuona wewe
umejitweka jukumu la kuhakikisha kuwa wewe uko hapo kwa ajili yake.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Mtunze. </b>Kama
mwanaume anahisi kuwa hawezi kuishi bila wewe, basi bila shaka atahakikisha ametia
kufuli jambo hilo.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Hakikisha kuwa unamtunza na unamfanya akutegemee kwa mambo
madogo madogo, hata kama ni jambo rahisi lile la kushughulikia nguo zake ama
kumpa sapoti wakati anapohitaji. Wewe kuwa ubavuni mwake kutafanya mabadiliko
ya haraka sana, na hatoweza kustahimili kuishi bila wewe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Kuwa shabiki wake
mkuu. </b>Jeuka shabiki mkuu wa mwanaume wako. Kitu chochote kile ambacho
ayaamua kufanya, hata kama ni jambo la utani ama la kuchekesha wewe mpe sapoti
kwa kumshabikia atimize azma yake.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Ile siku ambayo atakuja kugundua kuwa mafanikio yake katika
azma yake yamechangiwa na wewe basi atakuweka karibu yake. Atakuona kuwa wewe
umekuwa karibu yake bila hata kupoteza imani katika azma yake. Well utakuwa
umetoboa.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Mtreat. </b>Wakati
mwingine wanaume huchoka kwa kuwa wao ndio kila wakati huwatoa wanawake out na
deti. Msaprize siku moja kwa kumtoa out siku moja, na kuhakikisha unafanya
mambo ambayo anapenda kufanya.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Tumpeleka sehemu romantik, kumtoa katika dinner na
kumuonyesha jinsi romance inavyokuwa kutamfanya achangamke na labda anaweza
ingiwa na jazma ya kukutamkia lile neno ambalo umekuwa ukilingojea kutoka kwake
kwa miaka.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Kuwa mkweli kwa
kile unachotaka. </b>Wanaume wengi si wajuzi wa kusoma akili ya mtu. Wakati
mwingine unaweza kuwa katika mahusiano na mwanaume kwa miaka mingi na
ukashangaa ni kwa nini mwanaume kama huyu hajakuposa. Kuna uhakika mkuu ni kuwa
wazo kama hilo bado halijamlenga kwa kichwa chake.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Kama umekuwa na maongezi ya ukweli na mwanaume wako, na
ukaweka wazi kuwa unampenda, na ukaeleza vile ambavyo unaona mahusiano yenu
yatakuwa miaka inayokuja, basi anaweza kuingiwa na hali ya kutaka kuchukua
hatua ya mbele kuhusiana na unavyosema. Hata kama hana uhakika na ndoa, atleast
utakuwa umeliweka wazo hili katika kichwa chake.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Usikuwe
comfortable sanaa. </b>Kuwa comfortable sana katika mahusiano ni hatari sana.
Haswa iwapo kama unataka mwanaume wako achukue hatua ya mbele. Ni rahisi
kujisahau katika hali ulioko wakati huo na mwishowe kuwa mvivu. La kufanya ni
kuhakikisha kuwa unatafuta maisha yako wewe mwenyewe, interests zako na
marafiki wa kwako.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Hakuna kitu kizuri zaidi kama mwanamke ambaye ana uwezo wa
kujitegemea mwenyewe. Mfanye akuone kuwa wewe una mambo yako ambayo unafanya,
na kuwa una maisha yako ya nje kando na kuwa katika mahusiano. Soon ataanza
kuona jinsi ilivyo rahisi kwako kuenda zako, na hivyo atahakikisha ya kuwa
jambo kama hilo halitokezei.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Usimuogopeshe. </b>Usimuogopeshe
mwanaume ili akupose kwa kuwa hilo si jambo la kufuata. Inakubalika kuongea
maswala ya ndoa, na kueleza msimamo wako. Lakini iwapo utakuwa kila wakati
unamtia presha, kila wakati unagusia swala la ndoa, ama kuanza kutokwa na
machozi kila upitapo mbele ya duka la harusi basi utafanya ile dhana ya kwake
kukuoa kufifia haraka sana kwani atakuogopa.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Mwonyeshe kuwa
wewe ni wife material anayemwota. </b>Ukimwona mwanaume ameamua kuwa wewe ndie
aliyekuchagua basi tayari alikuwa alikuweka kwa ndoto zake awali.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Kama unamtaka aweke pete kwa kidole chako, basi mwonyeshe
kuwa wewe utakuwa mke mwema. Kuwa mtiifu, mwaminifu, mpole, mvumilivu, na
mpendezi. Muda si mrefu ataona kuwa hakuna mwanamke yeyote ambaye anaweza
kuzishinda tabia ambazo uko nazo.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Rudi nyuma. </b>Kama
imepita muda mrefu na umeshajaribu mbinu zote tulizozitaja hapo juu, basi jambo
la mwisho ambalo unaweza kufanya ni kurudi nyuma kiasi. Kumpatia mwanaume wako
nafasi ya kupumua si jambo baya, Si lazima ufanye mambo mazito ya kuleta
atenshen ya bure. Kwa kupoa kiasi, anaweza kuhisi kutokuwepi kwako na kugundua
kuwa maisha yatakuwa hayana maana kama hautakuwa na yeye.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Atagundua kuwa maisha yake ni mahumu bila wewe na hapo hapo
atakutaka uwe na wewe zaidi kuliko awali.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#Mtamkie. </b>Wakati
mwingine kufunguka ni jambo zuri. Kama umechoka kungojea, mbona usichukue hatua
mikononi mwako na kumwambia akuoe mwenyewe?<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Bila shaka utamweza!<b> <o:p></o:p></b></div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-4064513495749299972016-10-07T13:52:00.000-07:002016-10-08T01:58:17.486-07:00Mbinu Za Kujiweka Ili Mwanaume Aweze Kukutongoza HarakaJe umekuwa ukijiuliza kwa nini haukuwi approached na wanawaume kama unavyotaka? Blog ya Nesi Mapenzi imeamua kukuandalia mbinu na maujanja ya kutumia ili uonekane mwanamke ambaye anaweza kufukuziwa na mwanaume kwa urahisi.<br />
<div>
<br /></div>
<div>
Owk....</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya kuapproach mwanamke, unaweza kumfanya mwanaume yeyote kutaka kuongea na wewe dakika tano atakapokuja katika himaya yako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
So mbinu zenyewe ndizo zipi?</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Zama nami...</div>
<div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPbbsTnjhNGu64r0bmGF8mWiPjr2TE_n8tBmC0Jw1wvMB2UuUNDsL1N0nEXwMSgpD-SGIB3vA95D4qsOIwfvOzQMsC_vv2VhtlFkT1htIIC9rRdiMA6Lj-599xZryVYqqqFXIPhjdum1s/s1600/sekil%2525208_.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="263" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPbbsTnjhNGu64r0bmGF8mWiPjr2TE_n8tBmC0Jw1wvMB2UuUNDsL1N0nEXwMSgpD-SGIB3vA95D4qsOIwfvOzQMsC_vv2VhtlFkT1htIIC9rRdiMA6Lj-599xZryVYqqqFXIPhjdum1s/s400/sekil%2525208_.jpg" width="400" /></a></div>
<br /></div>
<h3>
Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza</h3>
<div>
<b>Kwanza jiweke nadhifu</b></div>
<div>
Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>Pili usionekane kama una shughli</b></div>
<div>
Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>Tatu ni kuwa mko ligi moja?</b></div>
<div>
Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach....kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia.</div>
<div>
<br /></div>
<h3>
Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach</h3>
<div>
<b>1. Jinsi utakavyovalia</b></div>
<div>
Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Unavyomuangalia</b></div>
<div>
Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Mitindo ya kumwangalia</b></div>
<div>
Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
i) Kumwangalia polepole - wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine. Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
ii) Kumwangalia kwa uharaka - hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4.Mfanyie kazi iwe rahisi</b></div>
<div>
Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>5. Sehemu zifaazo</b></div>
<div>
Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>6. Mpatie nafasi aongee na wewe</b></div>
<div>
Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>7. Tabasamu</b></div>
<div>
Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>8. Usiboeke</b></div>
<div>
Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>9. Usiwe mjeuri</b></div>
<div>
Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>10. Usitangamane na wanaume</b></div>
<div>
Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>11. Mwonyeshe kuwa uko intrested</b></div>
<div>
Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>12. Onyesha uanawake wako</b></div>
<div>
Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>13. Mchokore</b></div>
<div>
Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>14. Usilazimishe</b></div>
<div>
Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-66774150587220254432016-10-07T13:50:00.001-07:002016-10-08T00:32:54.442-07:00Sababu 14 Za Kwa Nini Unafaa Kumwagiza Mwanaume Umtoe OutWatu wamelelewa katika mazingira na jamii tofauti tofauti ambazo zinatarajia wanawake kuwa wapole na wanyenyevu, ni tamaduni ambayo inatarajiwa kuweko kwa kila mwanamke. Lakini kadri siku zinaposongea maisha nayo yanabadilika. Wanawake kwa sasa kupitia ufeministiki wamebadilika kuwa wanawake wapole na wanyenyekevu hadi kuingia wazima wazima kupambana na maisha ya ulimwengu wa karne ya 21.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbr7eXH40pqCesJXzyqMAWl4Ca65YFwB7eX2zv3Y8yhfB4Zj0Rh0Dai5fwWCPa6AN4y1pCdiJQcEUPknHqJq8p1_4-sS9H4ZTnpsI4gLuw6t6rMO62hROAGm7hOdEv1h4acVQfXSExybA/s1600/relationship-report-475-1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="293" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbr7eXH40pqCesJXzyqMAWl4Ca65YFwB7eX2zv3Y8yhfB4Zj0Rh0Dai5fwWCPa6AN4y1pCdiJQcEUPknHqJq8p1_4-sS9H4ZTnpsI4gLuw6t6rMO62hROAGm7hOdEv1h4acVQfXSExybA/s400/relationship-report-475-1.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
Ijapokuwa wanawake wametoka mbali, bado jamii inawatarajia kuwa na tabia ambazo zilikuwa zikifuatwa na kizazi cha mababu zetu ambapo mwanamke alikuwa akifanywa kama mali ghafi ya jamii, ambaye hana uwezo wa kuamua mbele ya jamii. Lakini tunavyojua ni kuwa sahizi kuna wanawake wengi ambao wamefanikiwa kimaisha haswa baada ya kuchukua hatua mikononi mwao wao wenyewe, hii ndio maana kuna sababu nyingi na nyingi ambazo wewe pia unafaa kuchukua huo mkondo.<br />
<br />
Okay...<br />
<br />
Kila mwanamke anahitaji mwanaume wa nguvu. Na kupata mwanaume wa nguvu lazima uwe mwanamke wa nguvu. So hizi ni sababu ambazo mwanamke anafaa kuchukua hatua ya kwanza ya kuapproach mwanaume na kumwambia.<br />
<br />
<h3>
Kwa nini unfaa kumwomba mwanaume utoke out na yeye</h3>
<div>
Hizi ni baadhi ya sababu ambazo unafaa kuchukua usukani wa mchezo wa kudeti, na uache kungojea mwanaume achukue hatua wa kwanza.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>1. Una nguvu zote juu ya mahusiano yenu</b></div>
<div>
Si itakuwa vizuri kama una uwezo wa kudibiti mahusiano yenu angalau hata mara moja? Mbona usichukue nafasi hii ya kuchukua na kudhibiti maamuzi katika mahusiano kwa kuangalia vile yataenda? Hii itaondoa ile hatua ambayo unakaa umgojee mwanaume aamue kama mahusiano yenu yatakuwa ya uhakika au la.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Wanaume wataona kufurahishwa kubembezwa kwa mabadiliko</b></div>
<div>
Wanaume wengi ambao wanawapenda wanawake wao wataitikia vizuri kama wanawake wao ni wale wa kutaka-watakacho. Hivyo kadri unapoongeza ujasiri wako hadi kumwagiza mtoke out, mwanaume aliyedhabiti atazidi kuvutiwa kwako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Iwapo mwanaume anajibu kihasi, basi atakuwa anatafuta mwanamke ambaye ni mpole na mnyenyekevu, na hio inakubalika. Kama ulijaribu kumwambia mtoke out halafu majibu yake hayakuridhisha, ni dalili ya kuwa mwanaume huyo hamuwezi kuwiana katika maisha yenu ya mbeleni hivyo unafaa uachane naye uangalie mwingine.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Unashika usukani wa machaguo ya deti yako</b></div>
<div>
Hatuko karne za akina Merilyn Monroe, karne ambazo wanawake walikuwa wakingojea matakwa ya wanaume. Tuko katika karne ya 21, ambayo wanawake wanaweza kusema chochote mbele ya uso wa mwanaume. Nyakati za kumtegemea mwanaume akupe fedha, familia na kukuamulia maisha yako yamepitwa na wakati. Kadri unapotafuta wanawake kwa udi na ambari ndipo unaongeza nafasi yako ya kupata mwanaume ambaye analingana na maslahi yako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4. Hakuna kungojea. Kama unamtaka, nenda ukamchukue</b></div>
<div>
Inaogopesha. Lakini si inakaa kuvutia, kuchangamsha na changamoto pia? Hebu fikiria hisia utakazozipata wakati ambapo umefanikiwa mpaka akakubali kusema ''Ndio''? Kuna sababu ambayo wanaume hupenda kufukuzia wanawake: ni kama uraibu vile. Mbona wanawake wasikue na hio tabia pia?</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>5. Unayemzimia anaweza kutojua kama unaishi</b></div>
<div>
Najua ushawahi kuona hii filamu za vijana ambazo unamwona msichana mzuri ambaye anampenda mvulana flani lakini kwa kuwa ni mwoga anajificha kwa nyumba na vitabu akisoma halafu mwishowe inafika mahali anaonekaniwa na yule mvulana aliyemzimia. Well, hio hufanyika kwa filamu na sinema pekeyake na unajua hivyo!</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ni bayana ya kuwa kama unataka mwanaume uliyemzimia akutambue, hawezi kukutambua mpaka ile siku ambayo utamwambia directly. Kama bado haonyeshi dalili za kukutaka, hastahili kupata atenshen yako. Songea mbele, na utafute mwingine uliyemzimia ambaye unaweza kumvizia.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>6. Kama ni mzuri, anaweza kuchukuliwa kabla hata kupata nafasi ya kukugundua</b></div>
<div>
Wanaume wazuri, wenye dalili za ndoa ni vigumu kuwapata ama kuwaona haswa miaka ya 20. Iwapo utapata nafasi ya kukutana na mmoja na umependezwa naye, chukua nafasi hii adimu kwa kumwonyesha kuwa wewe ni mwanamke mzuri tayari wa kuishi naye.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kucheza cheza na nafasi nzuri kama hii itafanya upigwe chini na mwanamke mwingine ambaye amemwona. So ya nini kungojea? Kama ataringa, bahati mbaya kwako, hakuna kosa litakuwa limefanyika.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>7. Wanaume wanataka kupewa fununu wakati mwingine</b></div>
<div>
Wanaume ni kama wametoka katika sayari nyingine! Kama hutajieleza kwao hawatapata fununu zozote kutoka kwako. Wanaume kawaida wakionyesha interest kwa mwanamke ni rahisi kujulikana. Mwanzo hili neno friend-zone lilizinduliwa na wanaume.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Hivyo iwapo unataka rafiki yako wa kiume atambue ya kuwa mnataka kuchukua urafiki wenu hadi level nyingine, mwanamke, unafaa kumwambia. La sivyo mtatengana na hatapata kuelewa chochote kile.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>8. Hata uvalie kivipi, mwanaume hatajua kama umemvalia kwa ajili yake</b></div>
<div>
Mbaya zaidi ni kuwa atakuona ya kuwa unavalia kama mdoli kila siku ili uwapendeze na kupata atenshen kwa wanaume wote. Na haitaingia kwa akili yake ya kuwa umevalia nguo hizo zote kumridhisha *mjinga fulani* ambaye ni yeye.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>9. Wanawake ambao hutaka-watakacho kawaida wanapata wanaume wazuri</b></div>
<div>
Wanaume ambao wanawapenda wanawake ambao wanapenda kile wanachotaka huwa ni bora zaidi kuliko aina nyingine ya wanaume. Mwanaume mwenye nguvu ndie anayeweza kuhandle mwanamke aina hii. Ni rahisi, iwapo mwanamke anataka mwanaume ambaye anaweza kumhandle jinsi alivyo na nguvu basi anapaswa kumtafuta yeye mwenyewe kujua iwapo ni mwanaume wa kutosha kumdhibiti.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>10. Kumwambia mwanaume moja kwa moja huwa kunamaanisha biashara, na huogopi kiurahisi</b></div>
<div>
Wanawake ambao ni jasiri kamili kumwambia mwanaume watoke out pamoja huwa ni changamoto kuu kwa mwanaume. Wanaume ambao wanaingiana na hili wanajua unamaanisha biashara, na si mwanamke yule wa kumwambia ''La''. Itamkumbusha mwanaume ni mwanamke gani anayedeal naye hivyo hatothubutu kukuchezea kama iko kwa akili yake.<br />
<br />
<b>11. Wanawake wanaojua wanataka nini hupata kile wanachotaka</b><br />
Zari aka thebosslady alimtaka Diamond, mwanaume ambaye aliyepachikwa jina la sukari ya wanawake, hakumruhusu Wema Sepetu aende naye. Alionyesha uwezo wake wa uke wake na kuonyesha nguvu zake za kumtaka mwanaume ambaye anapendwa na wanawake wengi. Bila woga alijieleza na akakubaliwa. Hivyo pia wewe nenda ukamtefute Diamond wako bila woga wowote.<br />
<br />
<b>12. Kama unataka kuwa kivuli, utabaki hapo kwa muda -na kwa muda zaidi, ama milele</b><br />
Ok simaanishi ya kuwa unafaa kuwa kuwa mwanamke wa drama kila mahali. La!, Lakini pindi utakapoamini kuwa wewe sehemu yako ni kukaa kivulini, imani hio itakushika.<br />
Mwanamke anafaa kuwa na confidence ya kuweza kuapproach na kufanya chochote kile. Labda unaweza kufanyika hivyo wakati wa miaka yako ya sekondari lakini ikipita miaka ya 20 kwenda mbele haufai kujiweka kivulini. Chukua hatua sasa.<br />
<br />
<b>13. Kama amekukataa, usidhoofike, ni experience umepata. Mskitie amekosa nafasi nzuri ya kuwa na mwanamke bora kama wewe</b><br />
Hautakufa kama amekukataa. Hata hatokuzuia wewe kushindwa kula. Najua ni uchungu kwako kukukataa lakini kuna tatizo? Chukulia hivi, miaka 10 baadae utakuwa ukijicheka kuhusu kuahirika kwake.<br />
<br />
<b>14. Wanawake wana nishati sikuhizi. Akina nani ndio wanaorun dunia?</b><br />
Beyonce amesema kuwa wanawake ndio wanaoindesha dunia. So mbona kila kitu usikichukulie hatua ya kwanza? Mwanzo si jambo gumu la kufanya. Kwani wanawake wengine wanafaulu vipi kuchukua hatua hii na wewe usiweze?<br />
<br />
<br />
Kumalizia ni kuwa wanawake wanafaa kuchukua hatua ya kwanza kama umemzimia mwanaume. Haina haja kukaa mahali pamoja ukingojea uletewe chakula kwa meza hadi kwa mdomo. Maisha ni nako!</div>
<br />
<div>
</div>
<br />
<div style="-webkit-text-stroke-width: 0px; color: black; font-family: 'Times New Roman'; font-size: medium; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; letter-spacing: normal; line-height: normal; orphans: auto; text-align: start; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: auto; word-spacing: 0px;">
<div style="margin: 0px;">
<br /></div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-88386239543684519962016-10-07T13:47:00.002-07:002016-10-08T00:32:54.452-07:00Ishara Anazoonyesha Kuwa Hatakuwa Boyfriend WakoJe ishawahi kukutokea? Unakutana na mwanaume ambaye anaonyesha kuwa anapenda kutoka deti na wewe. Mnaspend miezi mitatu mkiwa pamoja, mnatumiana jumbe za sms na kemia ya mapenzi mnaijenga kuwa ya nguvu. Deti ya kwanza inapita kuwa ya tatu, mwezi hadi miezi mitatu inawapita.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUpg203w5KrMDsMd-8tbjd-HTzrpXk7vqPYwVK66wJBsMTf9NfXQY1uteTS5KRngC7c9UBX2-nmigeONXhOSSKjAl0KUcmzu_fAZSByVjC7zDQv_7nVKbuN7mHmYNRVTZ36PF8ZKGOFiw/s1600/man-looking-into-mirror1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUpg203w5KrMDsMd-8tbjd-HTzrpXk7vqPYwVK66wJBsMTf9NfXQY1uteTS5KRngC7c9UBX2-nmigeONXhOSSKjAl0KUcmzu_fAZSByVjC7zDQv_7nVKbuN7mHmYNRVTZ36PF8ZKGOFiw/s400/man-looking-into-mirror1.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
Inapita miezi mitatu mkiwa pamoja na huyu mwanaume uliyemzimia, lakini kuna kitu kuhusu mahusiano yenu ambacho kinayafanya mahusiano yenu yasiwe ya shangwe tena. Imepita miezi kadhaa tangu mtoke deti ya kwanza lakini bado hajakufanya wewe kuwa wake. Inafikia pahala flani unaanza kujiuliza iwapo umekuwa ukipoteza muda wako na mwanaume huyu ama bado ni mapema kukata tamaa.<br />
<br />
Hili ni jambo la kawaida linalojitokeza kwa wanawake ambao ni single, na ni rahisi sana kuliepuka. Mwanaume ambaye anajitolea kwa mahusiano huwa anaonyesha dalili mwezi wa kwanza wa kudetiana, hivyo lazima uzijue dalili hizi bila kupotezewa wakati wako.<br />
<br />
Mwanaume ambaye anajitolea kwa mahusiano utamjua tu, hii ni kwa sababu atafanya juu chini kuhakikisha ya kuwa mahusiano yenu yanakuwa ya shangwe na kuona kuwa una furaha.<br />
<br />
Kila siku zinaposonga kwa kudeti na mwanaume, ndipo interest ya kwake inapungua kuwa boyfriend wako kama itapita miezi mitatu bila yeye kuchukua hatua zozote za kuyapanua mahusiano yenu.<br />
<br />
<h3>
So utajuaje kama mwanaume hatakuwa boyfriend wako? </h3>
<div>
<b>1. Kama unalala na yeye</b></div>
<div>
Hili si jambo geni. Kulingana na wanaume, wao husema ya kuwa hata kama mwanamke awe mrembo kiasi gani, pindi atakapoanza kulala naye, hupoteza interest kwake. Wazo hili pia limedhibitishwa na wanasayansi kuwa wanaume wanapoteza hamu na mwanamke pindi wanapolala naye.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Hivyo kama mwanamke hufai kutumia nafasi hii ya kumridhisha mwanaume kwa kufanya ngono ukidhania ya kuwa ni silaha yako kuu ya kumnasa. Ngono ni kihamasisho kwa mwanaume na wala si kitu ambacho ni haki yake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ni vizuri zaidi kujizuia kutofanya mapenzi na mwanaume hadi ile siku atachukua majukumu yake ya kuendeleza mahusiano yenu mbele. Ukichukua hatua ya kulala na mwanaume mapema utamfanya asijitolee kuendeleza mahusiano yenu.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Kama hakuhusishi na mipango yake</b></div>
<div>
Mwanaume ambaye anataka wewe kuwa boyfriend wake atakuhusisha na maisha yake. Lakini kama unajua mipango yake na shughli zake mkiwa naye halafu msipokuwa pamoja hujui mambo yake basi ni dhahiri ya kuwa mwanaume kama huyu hana maslahi yeyote kwako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Tatizo ni kuwa wanawake wengine hukataa kuamini jambo hili. Ok tuchukulie hivi, wewe kama unampenda mtu fulani ungependa kuwajulisha kitu chochote ambacho unafanya. Hii ni kwa sababu unataka kuwahusisha na maisha yako ili wamakinike sana na wewe.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Vivyo hivyo, mwanaume ambaye amejitolea kuchukua majukumu ya kuendeleza mahusiano yenu huwa anagawa mikakati na mambo yake kwako. Huwa anafanya hivyo ili kuhakikisha ya kuwa hakutakuwa na mwingine ambaye atakushawishi, atafanya juu chini kuona anafanikiwa kwako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Hii ni tofauti na mwanaume ambaye atapotea wikendi nzima halafu akupigie simu siku nyingine. Mwanaume kama huyu hayuko serious na mara nyingi ni kuwa aina hii ya wanaume lengo lao ni kukuchezea ama huwa na wanawake wengine wengi.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Hakufukuzii</b></div>
<div>
Kuna tofauti kubwa kati ya kukimbiza na kufukuzia. Unaweza kukimbiza kitu ambacho kinakimbia kutoka kwako. Kama mwanaume ameonyesha interest kwako, atakufukuzia kwa njia ambayo atakuonyesha ya kuwa anataka kuwa na mahusiano marefu na wewe. Atakupigia simu mara kwa mara, ataplan jinsi ya kuspend muda mkiwa pamoja na hatokuacha ukibahatisha hisia ambazo anazo kwa moyo wake kukuhusu.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Mwanaume ambaye hajajitolea ni yule ambaye hana mpango wala mikakati yeyote ile. Deti zake anazozipanga zinaonekana kawaida tu na haonyeshi dalili zozote zile za kuwa anakuthamini.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kumalizia ni kuwa ukiona mwanaume yeyote ambaye ana dalili zozote ambazo tumeziashiria hapa, basi fahamu ya kuwa hakutakii mema. Lakini dalili hizi si kuwa kila mwanaume atamaanisha ya kuwa hajajitolea katika mahusuano bali labda itakuwa hakujua kama majukumu yalikuwa yanahitajika baada ya deti.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-57482832543891601172016-10-07T13:45:00.000-07:002016-10-08T00:32:54.437-07:00Sababu Kuu Zinazokufanya Ukuwe Single/MpwekeWakati ambapo unadeti mwanaume kuna ile tabia ya ghafla inayokuja ambayo unajaribu kumkosoa kila kitu ambacho unakiona si sawa kwake ili uweze kuendelea na shani yako ya kumtafuta mwanaume alie sawa aka Mr. Right. Lakini iwapo utakuwa ukiendelea kumtafuta mr Right zaidi na zaidi labda kutaashiria ya kuwa kumpata huyo mr Right si shida ya kwako. Labda wewe ndiwe shida ya kuwa single hadi sasa.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjedYUSM62VtP-s_Lo4IERqUrTQVV0EEovk3Md33Zpv2o-NQT88FoKPQ6l4JU_wMQLHi1Zgjox7rE98s-FP_toO6ZK10dd1uq6ikpFA_9IZx-2WQV1jSsw5MlAJ42onjKDT1BdoCGwvZuo/s1600/reason%252Bwhy%252Bblack%252Bwomen%252Bare%252Bsingle.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="293" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjedYUSM62VtP-s_Lo4IERqUrTQVV0EEovk3Md33Zpv2o-NQT88FoKPQ6l4JU_wMQLHi1Zgjox7rE98s-FP_toO6ZK10dd1uq6ikpFA_9IZx-2WQV1jSsw5MlAJ42onjKDT1BdoCGwvZuo/s400/reason%252Bwhy%252Bblack%252Bwomen%252Bare%252Bsingle.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
Wakati ambapo wanawake hukua, hupenda sana kujikita kuangalia filamu, tamthilia za mahaba ambazo zinajenga dhana ya kuwa mr Right anaweza kutokea siku moja katika maisha ya mwanamke. Dhana hii imekuwa ikiendeshwa na movie nyingi kama vile za Cinderella nk ambapo mhusika anapendwa na mwanaume aliyekutana naye kighalfa na mwishowe wanaishi maisha ya raha mstarehe.<br />
Well, hizo ni ndoto ambazo haziwezi kutimia na unafaa kuamka kutoka katika ndoto uliokuwa ukilala na kuikumbatia ulimwengu wa uhalisia.<br />
<h3>
So, sababu za wewe kuwa single mpaka sahizi ni zipi?</h3>
<div>
Kiukweli ni kuwa hakuna mtu anaishi maisha ya cinema. Kama umekuwa ukitafuta kuwa na uhusiano lakini unashindwa kuwa na mafanikio, unahitaji kusoma baadhi ya sababu ambazo tumeziorodhesha.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>1. Una orodha ulioiandika</b></div>
<div>
Wanawake wote huwa na mawazo ya mr Right kwa akili zao. Kawaida huwa ni yule ambaye anapatikana katika filamu na sinema. Iwapo una orodha ambayo umeiandika, orodha hio inafaa iwe kama mwongozo tu.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kama uko mbioni kutafuta mahusiano na mwanaume mwenye kima cha futi sita, mhandsome, mwenye uwezo kifedha, macho ya hudhurungi, mjanja, mzuri, unafaa kufahamu ya kuwa mwanaume huyo anaweza kupatikana ila tu anaweza kuwa si mwenye kima cha futi 6 ama mwenye macho ya hudhurungi. Kama atapata wa futi 5 na nchi 9 kumbuka kuwa orodha yako haufai kuitilia maanani sana. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kiufupi ni kuwa haufai kuizingatia orodha yako ulioiandika asilimia 100, si lazima upate mwanaume ambaye ana masharti yote ambayo unataka.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Unatext wanaume wengi kupita kiasi</b></div>
<div>
Ni hisia iliyo ya juu kujua kuwa unapendwa, unababaikiwa na kuhangaikiwa. Lakini kama utaanza kuongea na mwanaume, ukaenda naye deti mara kadhaa, na kuanza kudhania ya kuwa ni boyfriend wako, basi unafaa kuwapotezea wale wengine na uache kuongea nao asilani.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kama hauwezi kujizuia kuzungumza na mtu mmoja, na kila wakati ambapo utakuwa ukileta gumzo la kuwa huwezi kuacha kuchat na wanaume wengine fahamu ya kuwa unamsukuma mbali mwanaume ambaye umemzimia.</div>
<div>
Haya ni mambo mawili ambayo anaweza kuamua kuchukua: anaweza kukuambia uachane na kutext hao wanaume wengine ama atachoshwa na kuskia gumzo lako la kila wakati ambalo unawataja wanaume wengine mara kwa mara. Hivyo kama unachat na wanaume wengine wengi, jua ya kuwa yule ambaye uko naye kwa sasa anaweza kuona ya kuwa hauko interested na yeye.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Unaongea ubaya kuhusu marafiki zako</b></div>
<div>
Kuongea ubaya kuwahusu marafiki zako kwa mwanaume umemzimia ni jambo ambalo unafaa kuacha. Hakuna mtu ambaye angependa kuhusishwa na mwanamke mlalamishi ama malkia wa drama, na iwapo unaongea mabaya kuhusu marafiki zako huwa unaongea nini kingine?</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Baada ya muda ataanza kuingiwa na maswali ya mbona bado uko na marafiki zako, na pia anaweza kuingiwa na mawazo ya kuwa pindi mtakapokuwa katika mahusiano utakuwa ungeongea uchafu na ubaya kumhusu na marafiki zako.</div>
<div>
Hakuna mwanaume ambaye yuko radhi kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye ana uhakika wa kuwa ataanza kutoboa siri zake kwa marafiki zake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4. Unachezewa, na kila mwanaume anachukiza</b></div>
<div>
Ni kweli kuwa kila mtu ashawahi kuwa na mahusiano mabaya na mwanaume mara moja au nyingine. Ashawahi kufikia hatua ya kuwachukia wanaume kiasi cha kuwa hautamani kuongea nao kabisa. Kama wewe ni mwanamke ambaye ushawahi kuwa katika mahusiano ambayo ulichezewa, na umeshindwa kuvumilia na kuyasongeza maisha yako, inakubalika. Mambo kama haya huchukua muda hadi yatakapoisha.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Lakini kama uko katika deti na mwanaume, haufai kuongea wakati wote kuhusu ubaya wa ex wako na jinsi ambavyo alivyokuumiza, jinsi unavyofikiria kuwa wanaume wote ni waongo na wadanganyifu, na jinsi ambavyo hutambui iwapo mapenzi ya kweli yanaweza kupatikana dunia hii. Mwanaume unayetoka naye deti si chanzo cha kwako kukosana na ex wako hivyo hupaswi kumlalamikia bali unafaa kukubali matokeo yaliyofanyika awali na kusongea mbele na maisha yako. Kama unaogopa na swala la kuwa unaweza kudanganywa, basi tatua shida zako ukiwa single.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>5. Hautaki kufanya kazi</b></div>
<div>
Kama ndoto yako ni kuwa unatamani kuwa mama wa nyumbani, ni vizuri. Lakini katika deti ya kwanza na mwanaume hana haja ya kusikia mambo kama hayo. Wanataka kukutana na wewe, lakini kuona sehemu yako ambayo uko mchangamfu. Wanataka kuona sehemu yako ya shangwe, ki wewe ambaye una furaha na mtu wa ashki.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Wanaume hawapendi kujihisi kama unawaangalia wao, kupanga harusi, watoto wangapi utapata, na chochote kile ambacho kitakuwa kikizulika kwa akili yako. Kila mtu ana mawazo ya fumba kwa akili yake, hivyo yanafaa kubaki akilini mwako na si kila mtu anahitaji kujua. Wanaume hawapendi presha, haswa ile ambayo inajitokeza katika deti ya kwanza. Wanaweza kujua dalili iwapo mwanamke anataka kuolewa kama kesho! Hivyo acha tabia za tai.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>6. Unapinga kila wakati</b></div>
<div>
Kama unaongea na mwanaume halafu akakuuliza ufanye kitu flani, lakini kila wakati unapinga, itafika wakati flani ataacha kukuuliza. Kama tu vile ukiwa na marafiki zako, nadhani ushawahi kukumbwa na kutohusishwa na jambo fulani, halafu baadae marafiki zako wakakuambia kuwa imetokana na kuwa unakataa vitu ambavyo unaagizwa kufanya. Iwapo kila wakati unakuwa mgonjwa, unafanya kazi, unafanya kitu fulani, basi pia utakuwa single milele.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>7. Mitandao ya kijamii umeifanya maisha yako</b></div>
<div>
Ok mitandao ya kijamii ni mizuri kutangamana na wenzako, lakini usiifanye kama ni sehemu ya kwako kunyatia profile za wengine, haswa kwa mwanaume ambaye unadeti naye. Ukianza kudeti na mwanaume, utakuwa ukiyaingia maisha yake, na hii itakufanya mtu mgeni kwa maisha yake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ok ni hivi, hufai kuichunguza akaunti yake kabisa sababu unaweza kuona comments, picha nk ambazo zinaweza kukuchanganya. Usijishughulishe kuangalia vitu ambavyo hujahusishwa. Hii ni kwa sababu unaweza kuona comment ama picha iliyotumwa kwakwe na mwanamke flani, jambo ambalo hutalichukulia vizuri.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>8. Kushtushwa na mwanaume ambaye anaonyesha maridhia kwako</b></div>
<div>
Hii ni muhimu sanaa. Kama wewe ni yule ambaye anashtushwa ama kushangazwa na jinsi mwanaume anaonyesha uzuri na upendo kwako, kama vile kukusifu, kukufungulia mlango, kulipia gharama zako, ama kimsingi kukutumikia vile unavyotaka wewe, basi bila shaka wewe ndiwe tatizo lako mwenyewe.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Relax na utulie, usichukulie kana kwamba yeye anakufanyia hivyo akiwa na ajenda zake fiche. Kama utaonyesha dalili za kutomwamini basi utamfanya ahisi ya kuwa huthamini kile ambacho anajaribu kukuonyesha ama kukufanyia.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>9. Kuwa na mtihaji mwingi</b></div>
<div>
Uhitaji ni ile tabia ambayo unajipendekeza kwake mara nyingi. Mwanamke hafai kuwa masaa 24/7 anataka kuwa kando na mwanaume. Unafaa mara moja au nyingine kuwa na shughli zako mwenyewe. Ukiwa kila wakati utakuwa na mwanaume basi anaweza kukuzoea na kukudhalilisha ama kuchukizwa nawe. </div>
<div>
Mahusiano yanahitaji muda mpaka yakolee, si eti utapata mpenzi wako chini ya masaa 48. Mwanzo unafaa umpe nafasi ya yeye kujiskia huru kwa kumpa nafasi kutangamana na marafiki zake na wewe kuenda kujumuika na wanawake wenzako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>10. Unapenda kuwa na marafiki zako wa dhati kila wakati</b></div>
<div>
Kama wewe ni yule ambaye kila wakati anakuwa na rafiki yake ukitaka usaidizi wa kimawazo, maoni, mtizamo wake ikija na maswali ya maisha yako yakudeti, inamaanisha ya kuwa huna usalama kujihusu wewe mwenyewe na huna uwezo wa kujiamulia.</div>
<div>
<br /></div>
<br />
<div>
</div>
<br />
<div style="-webkit-text-stroke-width: 0px; color: black; font-family: 'Times New Roman'; font-size: medium; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; letter-spacing: normal; line-height: normal; orphans: auto; text-align: start; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: auto; word-spacing: 0px;">
<div style="margin: 0px;">
Ni vizuri kujumuika na marafiki zako lakini haina haja ya kuwajuza kuhusu chochote ambacho kinahusiana na maongezi, matatizo ama chochote kuhusu boyfriend wako. Kuna vitu vingine havina haja kuvieleza hadharani kwa marafiki zako.</div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-66913278686601002592016-10-07T13:43:00.000-07:002016-10-08T00:32:54.444-07:00Sababu 11 Za Kufanya Mapenzi Na Rafiki Yako Wa DhatiKufanya mapenzi na rafiki yako si jambo la kawaida. Hii ni kwa sababu wengi huamini ya kuwa rafiki yako kimtazamo flani ni kama mtu wa karibu wa familia. Pia wengi huingiwa na mtizamo wa kuwa rafiki yako ni mtu ambaye yuko kwa ajili ya kusaidiana kimawazo na wala si kufikiria mambo na mapenzi nk.<br />
<div>
<br /></div>
<div>
Lakini kusema ukweli ni kuwa watu inafikia wakati flani wanavutiwa kimapenzi na rafiki zao, wanatamani kuwa nao maishani nk, lakini neno 'ni rafiki yangu' ndilo linalozuia wengi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na marafiki zao.</div>
<div>
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgek1X8M6hyphenhyphenCaskHU6qIDG3EhovMJCTTqveXlWgplDw6EP9gdMZSBHYA7u8SAxbaNbX6exQ4mnY8BCFs_bN3qtiYbsL_CjVRDxBS8fJNZAAg4Ol_2oOy6vvHTh61LpLcRVN-b7XRazf1bE/s1600/92a412c0a86ab0319d7f64fe4ae1eb46.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="kufanya mapenzi na rafiki yako" border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgek1X8M6hyphenhyphenCaskHU6qIDG3EhovMJCTTqveXlWgplDw6EP9gdMZSBHYA7u8SAxbaNbX6exQ4mnY8BCFs_bN3qtiYbsL_CjVRDxBS8fJNZAAg4Ol_2oOy6vvHTh61LpLcRVN-b7XRazf1bE/s1600/92a412c0a86ab0319d7f64fe4ae1eb46.jpg" title="rafiki yako na uhusiano wa kimapenzi" /></a></div>
<div>
<br /></div>
<div>
Well, ushawahi kwenda katika harusi na kuwasikia wanandoa wakisema ya kuwa "mchumba wangu alikuwa rafiki yangu wa dhati"? Neno hili linatumika kwingi na wanandoa wengi. Jambo hilo ndilo limenifanya nifunguke na kutoa sababu za kwanini unafaa kufanya mapenzi na rafiki yako.</div>
<div>
<br /></div>
<h3>
Sababu kwa nini unafaa kufanya mapenzi na rafiki yako</h3>
<div>
<b>1. Wao ndio wanaokujua vizuri</b></div>
<div>
Hii ndio inaweza kuonekana sababu moja kuu lakini wengi huidharau. Kama una rafiki wa dhati ambaye amekuvutia na unahisi kumdate ama kumfanya mwenzi wako wa mapenzi, hakuna sababu ya kujizuia kutochukua hio nafasi. After all si ni kawaida mnaambiana kila kitu, ukweli? </div>
<div>
Ukweli ni kuwa rafiki yako anajua kuwa wewe ni bora zaidi kuliko yeyote hivyo kufanya mapenzi naye hakutasaidia kuwaunganisha kihisia pekee, bali pia kutakupa uhakika wa kufurahishwa na penzi lao kwani wanakujua ndani na nje. Hii ni sababu kuu ya kwako wewe kuchukua hatua ya kufanya mapenzi na rafiki yako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Wanawajua familia na marafiki zako</b></div>
<div>
Kumkaribisha mpenzi mpya kwa familia na marafiki zako kunaweza kuwa vigumu kwa mara ya kwanza. Lakini kwa rafiki yako wa dhati, ashazoea kukutana na familia yako na marafiki zako hivyo ni rahisi kuwatambulisha. Iwapo unatafuta mchumba wa kiurahisi, rafiki yako wa dhati ni rahisi kwani anayajua maisha yako ya nyumbani na mara nyingi kawaida amekubalika katika familia.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Wanaweza kuwa wamevutiwa kimapenzi na wewe</b></div>
<div>
Kumwapproach mwanamke ambaye humjui kunahitaji kujiamini kwa hali ya juu. Lakini ukiwa na uzoefu wa kukaa na kuongea na mtu kwa muda mrefu inafikia wakati flani nyote wawili mnavutiana. Hivyo amini usiamini ukianza kumwapproach rafiki yako wa dhati na kumfungukia anaweza kukushangaza na jambo ambalo hukulitarajia. Hii ni kinyume na vile ambavyo unaweza kuwa wakati ambapo unaaproach mtu ambaye ni mgeni kwako. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4. Wanajua vitu unavyotaka...chumbani</b></div>
<div>
Katika sababu zote za kufanya mapenzi na rafiki yako, hii ndio hafifu zaidi lakini ambayo inachangia pakubwa. Hebu fikiria wewe na rafiki yako mmekaa unamweleza chochote kile ambacho kinakuja akilini mwako. </div>
<div>
Bila shaka ushawahi kumwambia kuhusiana na deti yako ya mwisho ambayo ilienda vibaya ama kumwelezea jinsi ulivyombusu ex wako na ulipendezwa, mitindo ya mapenzi uliokuwa ukifanya na jirani yako wa chumbani nk. Kumwelezea haya yote bila shaka atakuwa amejenga taswira ya mambo ambayo unapenda na kutopenda ikija maswala ya chumbani, hivyo inatoa fursa kwake kujua mengi kama utachukua hatua ya kufanya mapenzi naye.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>5. Hautakaa ungojee simu yake</b></div>
<div>
Jambo zuri kuhusu rafiki yako wa dhati ni kuwa amejitolea kukupenda bila masharti yeyote. Hivyo hutakuwa na tashwishi ya kuwa hatokupigia simu baada ya nyinyi wawili kufanya mapenzi. Na iwapo kutatokea tatizo kuwa hakukupigia simu, bado kuna nafasi ya kwenu kurudiana kuwa marafiki.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>6. Hawatakutumia</b></div>
<div>
Mara nyingi katika mahusiano, kuna panda shuka nyingi za kawaida ambapo wapenzi wawili wanaachana kwa kuwa wanagundua mmoja alikuwa anamtumia mwenzake kimapenzi ama kumtumia kwa njia nyingine. Lakini ikija wakati wa kufanya mapenzi na rafiki yako, hauna tashwishi yeyote kwani unajua rafiki yako anakupenda na hayuko hapo kwa sababu ya kujiridhisha yeye mwenyewe. Mwanzo rafiki yako lengo lake kuu ni kukuridhisha wewe zaidi kujiliko, hivyo inatoa nafasi nzuri kwa wale ambao wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi ambayo imejawa na uchoyo mwingi. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>7. Wanakupenda</b></div>
<div>
Rafiki wako wa dhati anakupenda. Yeye ameshaona matatizo na furaha zote ambazo umepitia, wanajua tabia zako zote, aidha nzuri au mbaya. Hivyo kufanya mapenzi nao hakulipi pekee, bali pia kunaridhisha na kutimiza. Mwanzo unajenga ukanda wa faraja kwenu wawili hivyo hutakuwa na wasiwasi wowote katika mahusiano yenu.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>9. Unaweza kurudi</b></div>
<div>
Uzuri wa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na rafiki yako ni kuwa iwapo itatokea wakati flani ambapo nyote wawili mumeona kuwa mahusiano yenu hayawezi kuchukua hatua nyingine, ama iwapo umepata mchumba ambaye umeona anafaa kuwa na mahusiano nawe basi unaweza kukatiza mahusiano ya kimapenzi na rafiki yako. Unaweza kukatiza mahusiano ya kimapenzi na rafiki yako na mkarudi kuwa marafiki wa kawaida bila kuwa na hisia zozote zile ilimradi nyote wawili mmepatana.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>10. Unajiskia huru ukiwa naye</b></div>
<div>
Rafiki yako wa dhati mmekua mkijuana kwa muda mrefu sana hivyo inamaanisha umemwelezea mengi kujihusu na anajua mengi kukuhusu. Hivyo kuwa naye unajiskia huru zaidi kuliko yeyote yule. Hauwezi kuingiwa na hisia za kujishuku wakati ambapo mnafanya yenu, hata kama ni mara yenu ya kwanza. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>11. Unaweza kuruka ile hatua ya kujuana</b></div>
<div>
Kwa kuwa mumekuwa marafiki kwa muda mrefu, nyote wawili mkiingia katika mahusiano itakuwa haina haja ya kufuata mkondo wa kawaida wa kuapproach mwanamke na kumtoa deti. Hatua kama hizi mnaweza kuziruka na kuangalia mambo mengine. Ijapokuwa unaweza kutojua siri nyingine za rafiki yako, haina haja ya kufuata mikondo ya kawaida ya kuapproach mwanamke.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
Kuna sababu nyingi za kwa nini unafaa kufanya mapenzi na rafiki yako, so chukua nafasi hii kujaribu labda unaweza kupata saprize ambayo hujawahi kuitarajia. Kuna ile hadithi ambayo imekuwa ikipitishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine eti kuwa na uhusiano na rafiki yako kunaharibu mahusiano. Ok, mwisho wa siku wewe ndie unayemjua rafiki yako vizuri na unajua vitu anavyopenda nk. Pia kuwa na mahusiano na rafiki yako ni salama zaidi kuliko yule ambaye umemtongoza kwa klabu.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-35379634144190244892016-10-07T13:39:00.001-07:002016-10-08T00:32:54.426-07:00Sifa 10 Bora Za Mwanamke MwemaSo sifa za mwanamke mzuri ni zipi?<br />
<br />
Wengi wangekuja na orodha isiyokuwa na mwisho ambayo inaeleza tofauti tofauti kuhusu tabia nzuri za mwanamke.<br />
<br />
Hapa tumekuja na orodha ya sifa nzuri na muhimu zaidi ambazo zinafaa kutumiwa kama kuwa kigezo cha kupima tabia nzuri za mwanamke.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIhqVTkDSawztnbDwzZAraVn0wil1wqB7HZrya1B7NuAtIwGDJiOzifprgQ6NKxR_6fxouIkYpzq4GpEUOn3sIhmFQLzuXaWzHpGi9dtdbXpE1HQnTvPDdVAED1LZjl4RZUIpsFGpHNvM/s1600/1292964076_top-10-traits-attractive-women-look-for-in-a-man_1-1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIhqVTkDSawztnbDwzZAraVn0wil1wqB7HZrya1B7NuAtIwGDJiOzifprgQ6NKxR_6fxouIkYpzq4GpEUOn3sIhmFQLzuXaWzHpGi9dtdbXpE1HQnTvPDdVAED1LZjl4RZUIpsFGpHNvM/s400/1292964076_top-10-traits-attractive-women-look-for-in-a-man_1-1.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
Kwa kuwa wanawake huwa na tabia tofauti tofauti, hatuwezi kusema lazima mwanamke awe na tabia zote hizi ili asomeke kama mwanamke mwenye tabia nzuri. La. hizi ni baadhi tu ya tabia ambazo mwanamke anaweza kuwa nazo, na nyingine kutokuwa nazo na bado akaorodheshwa kuwa na tabia nzuri. Zama nami.<br />
<br />
<h3>
Baadhi ya sifa nzuri kutoka kwa mwanamke</h3>
<div>
<b>1. Kusamehe</b></div>
<div>
Ni vigumu kuwa katika uhusiano halafu uwe hauna moyo wa kumsamehe mpenzi wako. Kawaida katika mahusiano, huwa kuna changamoto kadhaa ambazo hujitokeza hivyo lazima uwe na tabia ya kuweza kusamehe. Hii inaweza kuanzia kukosana kwa mambo ya kinyumbani, ama mambo mengine yanayofanana.</div>
<div>
Mwanamke mzuri ni yule ambaye ana uwezo wa kumsamehe mpenzi wake bila kuweka kinyongo. Iwapo mpenzi wako umemshika katika fumanizi nk na bado unampenda, basi jambo zuri la kufanya ni kumsamehe na kuendelea na maisha.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Msikilizaji mzuri</b></div>
<div>
Mara nyingi migogoro ambayo inatokea majumbani kati ya wapenzi wawili husababishwa na kutosikilizana. Huyu akiambiwa hivi huyu anajibu hivi. Well, iwapo mwanamke anataka mahusiano yake yake marefu na ya kufaana, basi anapaswa kuwa msikilizaji mzuri.</div>
<div>
Mwanamke ambaye huwa anatulia na kumsikiliza mpenzi wake, mahusiano yake na mpenzi wake huwa ya furaha zaidi ukilinganisha na ya yule ambaye hatilii maanani maoni ya mwenzake. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Mwaminifu</b></div>
<div>
Hii ni kuanzia kuongea ukweli bila kudanganya hadi maswala ya chumbani. Iwapo mwanamke ana mchepuko mahali fulani ama anamwendea kinyume mpenzi wake, basi aina hii ya tabia haifai kabisa.</div>
<div>
Sifa ya mwanamke mzuri ni ile ambayo ni ya uaminifu. Mwanamke mwaminifu kwa mpenzi wake haitofika wakati fulani ambapo atakosana na mpenziwe.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4. Msaidifu</b></div>
<div>
Katika mahusiano, kuna wakati fulani hufika ambapo lazima wapenzi wawili wasaidiane kufanya jambo ama kutimiza kitu fulani. Hivyo mwanamke mzuri ni yule ambaye anatoa msaada wa kumsaidia mpenzi wake na jambo fulani. Mathalan inaweza kuwa kumsaidia kimawazo, kifedha ama jambo tofauti. Mwanamke mwenye tabia hii humpendeza sana mpenzi wake kwa kuwa inaonyesha ya kuwa mwanamke kama huyu ana uwezo wa kumtumikia mpenzi wake wakati ambapo anaweza kupatwa na majanga. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>5. Mwenye imani</b></div>
<div>
Kuna tabia za wanawake ambazo huwachosha wanaume, nazo ni kukosa imani. Iwapo wewe una tabia za kutokuwa na imani basi tabia kama hio unafaa kuiacha mara moja. Tabia za kutokuwa na imani ni kama vile kuharakisha jambo, kulazimisha kitu ambacho hakiwezekani nk.</div>
<div>
Hali kadhalika, mwanamke mwenye imani ni yule ambayo ana subira. Iwapo ameambiwa na mpenzi wake kuhusu jambo fulani, basi yeye hutulia hadi kungojea matokeo yake.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>6. Kuhamasisha</b></div>
<div>
Wanaume humpenda mwanamke ambaye anatoa motisha ili kumsaidia kutimiza lengo lake. Vile vile kwa kawaida kuna wanaume ambao wanahitaji kiinua mgongo ili kutimiza mambo fulani. Hivyo wewe kama mwanamke, mara moja au nyingine unafaa kuonyesha umotisha wako kwa kumuelekeza mpenzi wako mara moja au nyingine.<br />
<br /></div>
<div>
<b>7. Mcha Mungu</b></div>
<div>
Mwanamke mcha Mungu bila shaka maisha yake huwa ya kufanikiwa. Mtu yeyote yule lazima awe mcha Mungu ili awe na sifa nzuri ya maisha katika jamii.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>8. Heshima</b></div>
<div>
Heshima haimaanishi ni kwa mpenzi wako pekee bali kwa jamii nzima. Mwanamke ambaye anapenda kugombana na majirani kila kukicha halafu ikifika jioni anamheshimu mpenzi wake hafai. </div>
<div>
Tabia za mwanamke mzuri ni yule ambaye anaheshimu na kuishi na majirani zake vizuri bila kuwa na mivurutano yeyote ile.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>9. Anajiamini</b></div>
<div>
Mwanamke mzuri ni yule anajiamini na anaamini mahusiano yake. Mwanamke mzuri ni yule ambaye hatasikia maneno ya watu halafu akampakizia mpenzi wake. Iwapo kuna swala tata ambalo linafanyika, basi mwanamke aina hii atamwekea kikao mpenzi wake na kujaribu kumuuliza maswali na kutaka kufafanua chochote ambacho kitakuwa kinamkwaza. Mwanamke aina hii hupendwa na wanaume kwa sababu anajua ya kuwa akifanya jambo fulani basi mpenzi wake atataka kuelezewa bila kuwa na hisia zozote mbaya.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>10. Anajua mapenzi</b></div>
<div>
Ikija katika swala la mapenzi, mwanamke mzuri ni yule ambaye anaujua mwili wake vizuri, hivyo si mwoga wa kuonyesha sehemu yake ya ndani ya mapenzi. Mwanamke huyu haoni aibu ya kujaribu mitindo tofauti tofauti ya kufanya mapenzi nk.</div>
<div>
Wanawake ambao wanajua mapenzi ni moja wapo wa sifa nzuri ambayo wanaume wanapenda.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
Hizi ni baadhi tu ya sifa za mwanamke mzuri. Iwapo unataka kuongezea ama kuchangia, angusha comment yako hapo chini.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-37764375469751796082016-10-07T13:36:00.002-07:002016-10-08T01:15:12.512-07:00Hatua Za Kufanya Ili Kujizuia Kufanya Mapenzi Katika Mahusiano MapyaKuingia katika mahusiano mapya ya kimapenzi huwa ni furaha na kuchanganya pia. Unaingiwa na hisia ambazo hujawahi kuwa nazo na pia kupenda kwa dhati. Mpenzi wako anakufurahisha na wewe pia unamfurahusha. Lakini inaweza kutokezea sitofahamu wakati ambapo wewe hutaki ama hujiskii kufanya mapenzi lakini yeye akawa na hamu ya kufanya tendo hilo. Sababu zozote zile uko nazo, una haki ya kujizuia kutofanya tendo la ngono mpaka ile siku ambayo utajiskia kuwa umefikia siku yako. Mwili ni wako na maamuzi ni yako.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSdhpG-YnHmI8fZS-JiS5SOEmDoDGORQuF93YKFdeKrajmUvLdBS4Y9ysc1duSLZ920Ur8z0QrD-Lh8e8FFVf6KkbN914Z1t1xQpdYHpK8ijQaVLszQhPY9is16rrzuPg5umoky3Q14iw/s1600/89792386.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSdhpG-YnHmI8fZS-JiS5SOEmDoDGORQuF93YKFdeKrajmUvLdBS4Y9ysc1duSLZ920Ur8z0QrD-Lh8e8FFVf6KkbN914Z1t1xQpdYHpK8ijQaVLszQhPY9is16rrzuPg5umoky3Q14iw/s400/89792386.jpg" width="266" /></a></div>
<br />
So utafanyaje umzuie mpenzi wako kutofanya ngono na wewe?<br />
<br />
<h3>
Mambo ya kufanya kumzui mpenzi wako kutofanya mapenzi nawe</h3>
<div>
<b>1. Usilale kwake</b></div>
<div>
Iwapo hautaki kufanya mapenzi na mpenzi wako, basi ni vizuri usijiingize katika hali ambazo zitachangia nyinyi wawili kuingiwa na hamu ya mapenzi. Iwapo umetoka deti na mpenzi wako, usijaribu kumsindikiza hadi kwake ama kuenda njia moja. Pia hutakiwi kuwa unazunguka sehemu ambazo mpenzi wako anaishi wakati kama huo kwa sababu inaweza kuchangia pakubwa kuingiwa na tamaa. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Usiwe mlevi</b></div>
<div>
Kuna baadhi ya watu wanafikiria ya kuwa matumizi ya vinywaji ukiwa na mpenzi wako inapunguza hisia za kufanya mapenzi. Well, labda inaweza kuwa ni kweli lakini kulingana na utafiti ni kuwa mtu mlevi anapoteza mwelekeo wa kufanya maamuzi yafaayo. Hivyo ukiwa umeathirika na ulevi pamoja na mpenzi wako, kuna asilimia kubwa ya kufanya maamuzi ambayo si sawa. </div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Toa visababu ambavyo havitomkwanza mpenzi wako</b></div>
<div>
Unaweza kutoa visababu kama vile unaumwa na kichwa, hujiskii vizuri nk. Ingawa kutumia uongo kwa mpenzi wako si jambo zuri, ni muhimu sana iwapo itakuja kwa maswala ya kufanya mapenzi ama kama hujiskii kufanya mambo mengine ambayo yanahusiana na wewe. Hivyo ni muhimu kupatia mambo mengine kipao mbele.</div>
<div>
<b><br /></b></div>
<div>
<b>4. Fungua roho yako</b></div>
<div>
Hii ndio njia nzuri zaidi kujizuia kutofanya mapenzi. Kukaa na mpenzi wako katika kikao na kumueleza ndani na nje kuhusiana na wewe kujizuia kutofanya mapenzi ni jambo nzuri zaidi kwa nyote wawili. Kumueleza ukweli mpenzi wako kutatoa ile nafasi ya kwako kuonekana kama unayapenda mahusiano yenu na hauhitaji kuficha ama kudanganya katika mahusiano yenu.</div>
<div>
Iwapo atakubali basi itadhahirisha ya kuwa yeye anatilia maanani mahusiano yenu. Kama atakataa basi bila shaka mahusiano yenu hayatokuwa marefu.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-30555216506246764262016-10-07T13:34:00.000-07:002016-10-08T00:32:54.423-07:00Dalili 8 Kuonyesha Umependwa Na Mwanaume Lakini Anaogopa KukuambiaUkweli usemwe. Kila mwanamume ameumbwa kivyake. Kuna wale ambao mambo yao hupenda kuyaweka wazi na wengine ambao mambo yao hupenda kuyatia kikapuni. Kuna wale ambao hawapendi kujionyesha hadharani na kuna wale ambao mambo yao huyaweka kimbelembele.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhE4MO7ysIJbEXIHbbBK7SqnQHf3MSN8DNds3aTGgrGYYXYwQYujOrn2Px71Tdzw_5EY-c-MZ4nGYsCudRqDICJQrNSk0kl7Ke9LmS77D2pvWjH-T0Jm1NHkbffAJVUAQ91GjvljIrW7iY/s1600/141+(1).jpg" imageanchor="1"><img alt="mwanaume mwenye aibu" border="0" height="212" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhE4MO7ysIJbEXIHbbBK7SqnQHf3MSN8DNds3aTGgrGYYXYwQYujOrn2Px71Tdzw_5EY-c-MZ4nGYsCudRqDICJQrNSk0kl7Ke9LmS77D2pvWjH-T0Jm1NHkbffAJVUAQ91GjvljIrW7iY/s320/141+(1).jpg" title="" width="320" /></a></div>
<br />
Tukija maswala ya kutongoza, kuna mitindo tofauti tofauti ambayo wanaume hutumia ili kufaniikisha lengo lao. Kuna ule msemo unaosema 'mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, yaani unaweza kufuata njia tofauti tofauti kufika pahali lakini mwishowe utarudi pale pale sehemu moja, so kwa wanaume kila mmoja ana mbinu yake ya kutongoza. Usiwahi kusema kuwa mwanamume aibu hajui kutongoza akiwa na wewe, labda hio aibu yake ni moja wa mtego aliouweka spesheli wa kukunasa wewe.<br />
<br />
So utajuaje kama mwanaume mwenye aibu amekuzimia lakini hataki kuonyesha?<br />
<br />
<b>1. Anaingiwa na wasiwasi akiwa na wewe</b><br />
Ukiona mwanaume anaingiwa na kibaridi ama kupapatika akiwa kando yako ujue ni ishara ya kukuambia kuwa amekuzimia. Hii inatokea wakati mko pamoja halafu anaingiwa na wasiwasi mara anafanya hivi mara vile.<br />
<br />
<b>2. Anapenda kuulizia marafiki zako kukuhusu</b><br />
Mwanaume mwenye aibu akikupenda huwa anataka kukufahamu zaidi kukuhusu. Iwapo atashindwa kuongea na wewe moja kwa moja basi ataanza kuwaulizia marafiki zake kukuhusu. Ukiona mwanaume ana tabia kama hii ya kuulizia marafiki zako, lile la kufanya nikuonyesha ishara za kuwa uko huru kuongea nayeye wakati wowote ule anapojiskia huru.<br />
<br />
<b>3. Anakuwa na tabia isiyoeleweka akikuona</b><br />
Owk wakati mwingine inatokea ya kuwa mwanaume mwenye aibu anashindwa kustahimili kuonyesha hisia zake hivyo kujaribu kuzificha ili usiweze kuzitambua. Lakini badala ya kuzificha, huibua tabia nyingine ambazo hazina mfanano wa kwake. Usishtuke ukiona akifanyika mambo ambayo si ya kawaida manake wewe ndio chanzo kikuu cha kufanyika hivyo. Yaani utakuwa umempagawisha kiasi cha kuwa anaweza kuanza kuchora miduara kwa mchanga akitumia miguu yake.<br />
<br />
<b>5. Anapenda kutabasamu na wewe</b><br />
Wanaume wote kawaida wakipendezwa na mwanamke huwa wanatabasamu. Lakini kwa mwanaume mwenye aibu aliyekupenda huwa tabasamu lake ni tofauti. Mara nyingi atakuwa akitabasamu lakini mara kwa mara anashindwa kukuangalia usoni. Labda anaweza kukuangalia lakini pindi utakapomuangalia yeye atajifanya anaagalia kando. Hii ni baadhi ya tabia ya wanaume wa aibu hufanya wakati anapojaribu kukupendeza.<br />
<br />
<b>6. Anakuwa kimya ukiwa naye</b><br />
Anaweza kuwa anaongea na marafiki zake sehemu flani, lakini pindi utakapotokea ananyamaza kabisa ama kuanza kuongea maneno yasiyoeleweka. Hata usishangae iwapo atakataa kujibu salam zako kama umempata katika hali kama hii. Mara nyingi ukimkuta akiwa na maongezi na marafiki zake, atajifanya hata hakuwa akizungumza katika kuchangia maongezi.<br />
<br />
<b>7. Anabadilisha mwonekano wake</b><br />
Ukiona kuwa mwanaume mwenye aibu ameanza kubadilisha mionekano yake kwa kuanza kuvalia nguo tofauti, mitindo mipya ya nywele nk akiwa na wewe, jua hii ni ishara ya haraka kuonyesha kuwa amekuzimia. Kufanya hivi kwa kawaida ana makusudio ya kukuridhisha wewe. Labda anadhania ya kuwa kuna mtindo fulani ambao akiuvaa unakupendeza.<br />
<br />
<b>8. Anagugumiza akiongea na wewe</b><br />
Mwanaume huyu hujamsikia akikwamakwama wakati anapoongea lakini ghafla unamskia akigugumiza anapoongea na wewe. Hii ni ishara ya kuonyesha kuwa anaishiwa na maneno ya kukuambia na inakuwa vigumu kwake kuyatoa ama kutafuta maneno ya kukuambia.<br />
<br />
<br />
So ni kitu gani kinachowafanya wanaume aina hii kuwa spesho kwa mwanamke?<br />
Kuna wanawake ambao wanapenda wanaume ambao ni wa aibu kwa kuwa hawana mambo mengi. Lakini usishangae kumwona mwanaume aina hii akikuapproach akutoe mkale bata pamoja. Pia aina hii ya wanaume itafikia wakati fulani wanaweza kukushangaza kwa kufunguka na kugundua kuwa ilikuwa tu ni baadhi ya mbinu waliyotumia kukuteka kimapenzi.Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-66955142406055292462016-10-07T13:30:00.000-07:002016-10-08T00:32:54.446-07:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanaume Akupende MwenyeweUnampenda mwanaume flani lakini hajaonyesha dalili zozote za kukupenda? Umejaribu kutumia maujanja yako uliobarikiwa nayo kama mwanamke lakini bado unashindwa kuinasua akili yake? Kumfanya mwanaume akupende si jambo gumu la kufanya, kile unachohitaji ni kutumia mbinu hakika ambayo imefanyiwa utafiti na kuonyesha kuwa inafanya kazi mia kwa mia.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYvjkcWOvDK2uQACOFy9t0IvJUBunWMDH-oXTvb1nv-bFQEV1AKQ7a9TCpv3Q0OczdoWbDVHasnDithedQEUhZw_pf4p31Aks3FHNpohQSR6olWiqo2Qfm4s1Z4-dtzpgcRPaG3j55YTo/s1600/78403292.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYvjkcWOvDK2uQACOFy9t0IvJUBunWMDH-oXTvb1nv-bFQEV1AKQ7a9TCpv3Q0OczdoWbDVHasnDithedQEUhZw_pf4p31Aks3FHNpohQSR6olWiqo2Qfm4s1Z4-dtzpgcRPaG3j55YTo/s400/78403292.jpg" width="260" /></a></div>
Tukirudia kutumia mbinu hakika ni kuwa kama team ya Nesi Mapenzi, tumekuja na miongozo ambayo ikitumiwa vizuri basi bila shaka unaweza kumfanya mwanaume yeyote akupende.<br />
<br />
<b>1. Kuwa machoni mwake</b><br />
Kumfanya mtu akupende ni rahisi. Iwapo mara kwa mara utakuwa machoni mwake itafikia wakati flani kuwa amekuzoea kiasi cha kuwa akienda mahali asipokuona basi hasikii raha. Hii unafaa kuitumia kwa mwanaume unayemzimia kwa kuwa karibu na yeye mara kwa mara. Mfano akienda library kusoma, wewe unafaa uwe uko karibu naye, akiwa ameenda kula lunch katika hoteli flani unaweza kupata kisababu cha kuenda naye nk ilimradi muda wake mwingi awe anakutia machoni.<br />
<br />
<b>2. Jeuza mtindo</b><br />
Baada ya kuona ya kuwa amekuzoea ama mmezoeana, kile unachotakiwa kufanya ni kubadilisha mtindo mzima. Usipokee simu zake kwa muda wa siku tatu, akikutext mjibu baada ya masaa matatu huku ukimwambia uko buzy. Zile sehemu ambazo amekuzoea mnakutana pamoja usiwe ukienda mara kwa mara. Kufanya hivi kutamfanya mwanaume kuvutiwa zaidi na wewe kwani tayari ulikuwa ushamzoesha yeye kukuona mara kwa mara. Iwapo kama mwanauume ataonyesha interest na wewe hapa basi fahamu kuwa umepiga hatua kubwa kumfanya mwanaume huyu akupende.<br />
<br />
<b>3. Mfanye specially kwako</b><br />
Mfanye ajiskie maalum wako. Njia moja wapo ya kumfanya mwanaume azuzuike kwako ni kumchukulia kwa njia ambayo kunamfanya yeye kujiskia ama kujiona mtu maalum sana kwa maisha yako. Kama uko na marafiki ama katika gumzo la watu, makinika kwake peke yake na kujihusisha na yale ambayo ataongea. Mwangalie machoni bila kupesa huku ukimuuliza maswali ya kepekee ambayo yanamlenga yeye.<br />
Pia unaweza kujaribu maji mapya kwa kuonyesha azma ya kutaka kuyajua maisha yake, vitu anavyovipenda na kutaka kujua urafiki wenu nk.<br />
<br />
<b>4. Kutana naye 'kibahati mbaya'</b><br />
Kutana naye kibahati mbaya. Hii kutamfanya kufikia kana kwamba kuna uunganisho kati yenu. Mfano kama umegudua ya kuwa anapenda kusoma gazeti katika mkahawa flani mjini, unaweza kujipeleka hapo kimakusudi ilimradi aone kuwa makutano yenu yalikuwa ni sadfa. Mfanyie saprize kwa kushangaa kukutana naye hapo. Mwangalie vile atakavyofanyika wakati ambapo amekuona.<br />
<br />
<b>5. Jirembeshe uonekane</b><br />
Kujirembesha haimaanishi kujibadilisha vile ulivyo. La! Vile unavyotakiwa ni kuhakikisha ya kuwa unakuwa nadhifu na msafi. Hakikisha kuwa unavalia nguo zako za kawaida lakini zitie nakshi kiasi flani. Mfano unaweza kuvaa bangili,shanga, vipuli nk. Pia jipulize marashi mazuri (wanaume huwa wanyonge ikija maswala ya marashi ya wanawake). Hakikisha haubadilishi tabia zako ili uweze kumfanya mwanaume akupende.<br />
<br />
<b>6. Onyesha uhuru wako</b><br />
Jambo ambalo wanawake hukosea kwa wanaume ni ile tabia ya kutojitegemea wao wenyewe. Tabia ambayo inachukiza mwanaume ni kuona mwanamke anapenda kumtegemea mwanaume kama kupe.<br />
Vile unavyotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa unajitegemea wewe mwenyewe. Muonyeshe kuwa wewe una maisha yako, vitu unavyopenda kufanya, una marafiki zako na kuwa hutegemei yeyote katika maisha yako. Usiogope kutoa maoni yako kuhusu maswala fulani. Amini usiamini, mwanaume akikuona unatabia kama hizi atavutiwa nawe bila yeye kujielewa.<br />
<br />
<b>NB: </b>Hakikisha kuwa hauigi tabia za mtu yeyote. Kama unaona baadhi ya kufanya mambo haya ni magumu, chukua muda wako wote wa kufanya mazoezi ili mwishowe uweze kushika. Ukiiga tabia ambazo si zako ni rahisi kugunduliwa na mwishowe utajiharibia mwenyewe kwa kuitwa feki.Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-67044390098314889822016-10-07T13:24:00.002-07:002016-10-08T01:15:12.518-07:00Hatua Za Kumrudisha Ex Wako Arudiane Na Wewe Kwa Mara NyingineKumfanya mpenzi wako wa zamani kurudiana na wewe si jambo la rahisi kutimiza, haswa kama iwapo ameshachukua hatua ya kusahau yaliyopita na kupata mchumba mpya ambaye wanadate.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIe8595cFj8DG-kOvmrU2g5CeaW5xnyWFya3IpGKKzh8ka3Akz9m2qFwTqCVinOxo2nw0pU1qVgpIBgz5HX10UKRdTq2KL5DRbZ58-YK4cNQRAEZsa1ioGN5MU8i11NwQSNhcTudbRFAU/s1600/get-ex-girlfriend-back-faster-way.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="jinsi ya kumvutia mpenzi wako wa zamani arudiane nawe" border="0" height="166" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIe8595cFj8DG-kOvmrU2g5CeaW5xnyWFya3IpGKKzh8ka3Akz9m2qFwTqCVinOxo2nw0pU1qVgpIBgz5HX10UKRdTq2KL5DRbZ58-YK4cNQRAEZsa1ioGN5MU8i11NwQSNhcTudbRFAU/s320/get-ex-girlfriend-back-faster-way.jpg" title="jinsi ya kumvutia mpenzi wako wa zamani arudiane nawe" width="320" /></a></div>
<br />
Wakati mwingine, inafaa ujipende wewe mwenyewe zaidi ili kufanya mtu mwingine naye akupende. Inafaa uwashe kitu fulani ndani yako; ili kufungua nishati ambayo inapatikana ndani ya mwili wako ili uweze kuwa mtu tofauti.<br />
<br />
<blockquote class="tr_bq">
Wakati mwingine kama tumevunjwa moyo na kukata tamaa tunasahau kujipenda sisi wenyewe. Dunia yako haifai kuzunguka kwa mtu mmoja pekee. Kumbuka marafiki zako wapya na wa zamani sababu hao wanaweza kukusaidia.</blockquote>
<br />
Kuwa jasiri kufanya mambo ambayo hujawahi kufanya mbeleni. Kufanya hivyo kutakupa wewe nafasi ya rahisi kumpata na kurudiana na mpenzi wako wa zamani. Jaribu kuvumbua upande mwingine wa nafsi yako, na ukigundua kuwa unaweza kufanya mambo kama hayo, unaweza kujiamini kufuata maagizo haya ya kutumia saikolojia ili uweze kumfanya mpenzi wako atake kurudiana na wewe.<br />
<br />
<b>1. Tumia saikolojia mjeuko</b><br />
<b><br /></b><b>Mfano</b><br />
Mpenzi wako wa zamani Ex ameamua kuachana na mambo yenu ya zamani. Hajibu texts zako wala hataki kupokea simu zako.<br />
<br />
<b>Kitu cha kufanya</b><br />
Bila shaka itakuwa wamezoea ya kuwa kila wakati unamfukuzia ama kutaka kujihusisha na kumbabaikia. Lile ambalo utahitaji kufanya ni usijisumbue kuwatext wala kuwapigia simu.<br />
<br />
Kama itatokea mkipishana hata usijisumbue kumuangalia machoni. Akikusalimia mambo wewe mjibu tu poa. Hivi hivi unafaa kuwafanyia marafiki zake. Hakikisha ya kuwa unawafanya kana kwamba huwatambui kabisa katika maisha yako. Wewe jifanye mtu wa kawaida kabisa.<br />
<br />
Ukifanya hivyo wataanza kushangaa kwa nini umeanza kuwapuuza kwa ughafla. Wataanza kujiuliza kwa nini umeacha kuwatumia jumbe fupi ama kukuona kwa nini siku hizi umeacha kuwa mtu wa kujamiiana. Mwishowe itafikia wataanza kuuliza marafiki wengine kutaka kujua kama umepata mchumba mwingine ama umeanza kudate mtu mwingine.<br />
<br />
Owk. Kama unafanya haya yote kumbuka usivuke mipaka. Wakikusalimia jibu salamu zao lakini usiwe wewe wa kwanza kutoa salamu. Muda si mrefu watagundua ya kuwa mchezo umewajeukia wao bila hata wao kutambua.<br />
<br />
<b>2. Jipe shughli kwa kuwa buzy</b><br />
Hakikisha kuwa unajipa shughli zako kila muda. Mwanzo kama mnafanya kazi katika jengo moja ama mnasoma darasa moja hakikisha ya kuwa unafanya shughli zako kama kawaida ili uonekane huna muda na mambo ambayo anafanya...yaani humtambui kama yuko hapo.<br />
<br />
Kwa bahati mbaya iwapo itatokea umekuwa na yeye katika sehemu moja jifanye unatext mtu ili mradi usiongee na yeye. Hii itamfanya yeye kujiona mjinga akiwa kando yako sababu wewe upo buzy na shughli nyingine. Kama ni hali mko shuleni, unaweza kumpuuza kwa kujikeep buzy ukiongea na rafiki yako mwingine.<br />
<br />
<b>3. Usijifanye uonekane mwenye wivu</b><br />
<b>Mfano</b><br />
Umemuona mpenzi wako wa zamani akiandamana na mwanamume/mwanamke anayevutia kama vile Justin Bieber/Beyonce wakitembea wakija upande wako.<br />
<br />
<b>Kitu cha kufanya</b><br />
Usionekane mwenye wivu. Jiweke asili yako vile ulivyo.<br />
<br />
Unaweza fikiria unapishana tu na wapenzi wawili ambayo huwajui kamwe. Usijaribu kuwakimbia.<br />
<br />
Ukijaribu kuwahepa utakuwa unatuma ujumbe kwa mpenzi wako wa zamani ukiashiria ya kuwa bado unawapenda na kumwona yeye na mwanamume/mwanamke mwengine kumekufanya uvunjike moyo. Huku kutawafanya wao kujiskia wako juu na kujiskia raha. Badala ya wewe kuwafanya wajiskie hivi, hakikisha ya kuwa unawapuuza kabisa. Jambo hili litawafanya kuwa na maswali mengi iwapo kama tatizo liko wapi. Kile unachofaa kufanya nikuwapuuza.<br />
<br />
<b>4. Badilisha muonekano wako. Kuwa mtu tofauti</b><br />
Owk najua ushawahi kuskia zaidi ya mara elfu moja kuwa unafaa kubadilisha muonekano wako ili kujionyesha. Well, kufanya hivi kuna umuhimu gani?<br />
<br />
<br />
<ul style="text-align: left;">
<li>Kujibadilisha kunakupa mwonekano mpya na kunakufanya ujiskia vizuri kuhusu wewe mwenyewe. Kufanya hivi kunakupa confidence na kuweza kujiamini kila mahali utakapokwenda.</li>
<li>Kama unaonekana vizuri, kwa kawaida inakuwa kama ni kioo kinachokumulika ndani yako. Hii itatuma meseji kwa mpenzi wako wa zamani kuashiria kuwa maisha yako hayazunguki kwa mtu mmoja pekee ambaye ni yeye.</li>
<li>Iwapo umejibadilisha kabisa, watagundua ya kuwa kuna nafasi ya haraka kwako kuweza kupata mchumba mwingine. Hii inaweza kumfanya Ex wako kuingiwa na hisia za woga wa kukupoteza asilani. Hivyo kuna uwezekano wa yeye kujipendekeza kwako ili mrudiane.</li>
</ul>
<div>
<b>5. Kuwa mtu usiyejali na ujiburudishe</b></div>
<div>
Tumia muda wako ulionao kujiinjoy na marafiki zako. Jumuika na marafiki zako sehemu tofauti, cheka zaidi, enjoy maisha hadi kilele chako. Iwapo ulikuwa na stress ama mkazo wa maisha wakati ulipokuwa ndani ya mahusiano naye na sahizi umekuwa tofauti itaashiria kuwa umekuwa na utofauti mkubwa na kuwa ndani ya mahusiano naye ilikuwa ni balaa tupu.<br />
<br /></div>
<div>
<b>6. Jifunze kukataa</b></div>
<div>
Ukionyesha kuwa bado unampenda mpenzi wako wa zamani, basi wanaweza kuutumia huu mwanya kukutumia vibaya kwa kuwa hauna uwezo wa kukataa chochote ambacho wanaweza kusema.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Acha kuwa mtu wa aina hii kwa kujikeep buzy na mambo tofauti ya muhimu. Jiheshimu wewe mwenyewe kwa kukataa kutumiwa ovyo. Usikubali kamwe kufanywa mtumwa na mpenzi wako wa zamani. Mwonyeshe kuwa umekuwa tofauti kabisa na mtu ambaye ulikuwa zamani.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Jipe shughli na vitu vyako ili usiweze kutumiwa na ex wako. Hata kama ni kumsaidia na kitu ambacho kinaweza kuchukua dakika 15 unahaki ya kumwambia usoni mwake kuwa haujiskii na kile anachotaka umfanyie.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>7. Ingia gym, boresha umbo lako</b></div>
<div>
Kuingia gym ni mbinu moja wapo ambayo unaweza kuitumia kusahau mambo yako ya zamani. Pia kuingia gym kunakupa nafasi kwako kujishepu mwili wako ili uwe na toni ya kuvutia. Pia gym inakusaidia kukupa confidence na kujiamini. Pia gym inakufanya uwe na nguvu zaidi.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Mpenzi wako wa zamani aka ex wako akiona mabadiliko yako ya kimwili, kujiamini na nguvu bila shaka atavutiwa nawe. Labda wakati mwingine anaweza kukuomba kama unaenda gym muende pamoja.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>8. Usiwahi kumsifia</b></div>
<div>
<b>Mfano</b></div>
<div>
Wewe na ex wako mmekutana katika birthday party ya rafiki yenu halafu akakusifu kwa mtindo wako uliovalia kwa kusema "Umependeza". Wewe ni lazima umjibu pia.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>Vile unavyotakiwa kusema</b></div>
<div>
Mjibu kwa kumsifia lakini usiingie sana. Unaweza kumwambia "Pia wewe umependeza lakini mtindo wa nywele zako umekaa vibaya na nguo" ama "Hio nguo uliyovaa inaweza kufanya kila mwanamke akuangalie lakini marashi uliopaka yananuka vibaya"</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Ok hii itawachanganya kabisa kwa sababu hawakutarajia kamwe kuskia neno 'lakini' katika kuwasifia.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
Unaweza kuonekana mchoyo lakini hio ni muhimu katika kutimiza lengo lako la kutumia mbinu ya kisaikolojia ili kurudisha akili yake kwako.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
Mwisho nikuwa ukitumia mbinu hizi zote kuna uwezekano mkuu wa ex wako kukutizama na sura mpya. Kurudiana na ex wako kutategemea na chanzo chenu cha kwa nini mliachana mara ya kwanza. Labda ilikuwa ni sababu ya kuboeka na mahusiano yenu ama sababu tofauti kabisa.</div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-66403439802786978272016-10-07T13:14:00.003-07:002016-10-08T00:32:54.439-07:00Mambo 4 Unayofanya Ambayo Humuudhi Mwanaume Kila WakatiOk najua haiwezekani kukusanya wanawake wote pamoja kwa kuwa kila mwanamke ana tabia tofauti kabisa na mwengine. Na pia si wanaume wote wanaudhiwa na kitu kimoja. Lakini kwa kawaida wanaume wakati mwingine huweza kuwa na tabia za ujumla, yaani kuna mambo ambayo wanaume wa kawaida huwa nayo kwa pamoja. Hivyo tumeamua kuja na baadhi ya mambo kwa ujumla ambayo huwaudhi wanaume kutoka kwa wanawake.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZCOVPJmyFiC4W5ikavq16ZBAdnkIES-BA057ZAuZPP7_Wl233sR40pjxSGqihiPF_MaPbpvZCWyD-POMdXKlu1ndV19quAs-uXcEQoc70sQKMD5HIq20HexEFQzxJcnLk5L1YZAE6gjE/s1600/Nagging.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="184" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZCOVPJmyFiC4W5ikavq16ZBAdnkIES-BA057ZAuZPP7_Wl233sR40pjxSGqihiPF_MaPbpvZCWyD-POMdXKlu1ndV19quAs-uXcEQoc70sQKMD5HIq20HexEFQzxJcnLk5L1YZAE6gjE/s1600/Nagging.jpg" width="320" /></a></div>
Hivyo kama mwanamke unapenda baadhi ya tabia hizi basi fahamu ya kuwa unamchukiza mpenzi wako.<br />
<br />
<b>Kuwa na hisia nyingi</b><br />
Wanaume wanaweza kupandwa na mori iwapo wapenzi wao wanakuwa na hisia za kupindukia, sana sana kama wanaanza kulia halafu wanatarajia wanaume kutatua matatizo yao. Wanaume hujua ya kuwa wanawake huwa na hisia nyingi kuanzia kufunja kucha zao ama kusongwa nywele vinaya, wanaume wengi hukiri ya kuwa ni vigumu kwao kuweza kutatua baadhi ya matatizo yao.<br />
<br />
<b>Kuwa mzuri kuliko mwengine</b><br />
Wanawake wanapenda sana kuwasifia wapenzi wao kuwa ni wazuri na eti ni tofauti kuliko wapenzi wake wa zamani. Mara ya kwanza kwanza mwanamume atapenda kusikia maneno kama hayo na kuona kama ulipitia pabaya wakati wa mahusiano yako na wengine lakini baada ya muda ataanza kufikiria kuwa wewe utamwingiza katika moja wapo la kundi ambalo atakuwa ukimuita 'mwanamume fala'. Njia nzuri ya kutatua jambo hili ni kusema ya kuwa hjawahi kuwa katika mahusiano yeyote na mwanamume hivyo mtakuwa na wakati mzuri pamoja.<br />
<br />
<b>Kuongea bila kikomo</b><br />
Wanawake wanapenda sana kuongea kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi na marafiki zao wanawake. Lakini hio ni tofauti kwani wanaume hawapendi sana kuzungumza mengi so kama una maneno mengi yasiyokuwa na mwisho basi itakubidi uachane na hio tabia.<br />
<br />
<b>Shopping isioisha</b><br />
Ukweli usemwe ni kuwa wanawake hupenda sana kufanya shopping kiasi cha kuwa inafikia wakati fulani kunaboa. Sasa kama wewe ni mwanamke unayependa kufanya shopping usijaribu kuenda shopping na mpenzi wako. Tabia ya kuingia kwa duka kwa masaa mawili kununua dress na mpenzi wako kutakutia taabani. Hii ni kwa sababu ya kuwa muda mwingi mwanamume hatakuwa na kitu cha kufanya ila kukuangalia tu wewe. Pia tabia ya kufalia nguo halafu kumuuliza kama nguo iliyofaa inakupendeza au la ni kuchosha kwake.<br />
<br />
<br />
Kama unamambo mengine ambayo huchukiza wanaume kutoka kwa wanawake unaweza kuweka comment yako hapo chini<br />
<div>
<br /></div>
Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-3973471359222349662016-10-07T13:09:00.003-07:002016-10-08T00:32:54.431-07:00Dalili Nzito Kuonyesha Mpenzi Wako Amechoshwa Na WeweNaamini kuwa mahusiano yako na mpenzi wako siku za kwanza kukutana na yeye yalikuwa ya kufurahisha kila wakati mnapokuwa pamoja. Halafu muda ulivyokuwa ukisongea mumejiona mukipunguza moto ambao mlikuwa nao awali. Naongea ukweli? Hivi wewe na mpenzi wako mahusiano yenu yamefikia kilele cha kuanguka<br />
<br />
Ni kawaida katika mahusiano kufikia pahali ambapo lazima kutatokea sintofahamu kati wa wapenzi wawili. Lakini habari njema ni kuwa pindi utakapomaliza kuzima hili chapisho utakuwa na nafasi nzuri ya kutatua matatizo yako na mpenzi wako.<br />
<br />
Kutatua matatizo katika mahusiano yanahitaji kazi na kujitolea na baada ya muda mfupi matatizo yenu yatakuwa yametatuliwa bila shida yeyote kutokea. Baadhi ya matatizo makuu ambayo hutokea katika mahusiano ni kama yafuatayo:<br />
<br />
<b>1. Malumbano na vioja</b><br />
<br />
Hili ni tatizo kuu ambalo hutokea katika mahusiano na pia ni rahisi kulitatua. Ukimwona mpenzi wako kila mara yeye anapenda majibizano ama kurusha vitu huku na kule, ujue kuwa hii ni dalili ya kuwa anataka kuona mapya kutoka kwako. Kwa wanawake, wakianza majibizano ujue kuwa wanataka mabadiliko katika mahusiano aidha chanya ama hasi.<br />
<br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMVjR5l3OyMo8xff_U5ZoIyEDxs2FW1CDFT39qDjwSTAmqz9WQOjWQPLDy3AOTYlioBBpcOGrkARbF0oceTliQT8gR-KXTXvJJdPY9geucExA_Sf90PcjGPAlJpZxtNXvqScEVexeVGQA/s1600/Bored-couple.jpeg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMVjR5l3OyMo8xff_U5ZoIyEDxs2FW1CDFT39qDjwSTAmqz9WQOjWQPLDy3AOTYlioBBpcOGrkARbF0oceTliQT8gR-KXTXvJJdPY9geucExA_Sf90PcjGPAlJpZxtNXvqScEVexeVGQA/s1600/Bored-couple.jpeg" width="320" /></a>Tatizo ni kuwa kuboesha huua mahusiano kati ya wapenzi wawili. Na ukisema kuwa utajitenga ili upoeshe mahusiano yenu utakuwa unafanya makosa makubwa. Ukiona kuwa mpenzi wako anaanza majibizano ama vita vya kila wakati, kwa urahisi anajaribu kukuambia: "kama vitu havitaenda vile nataka mimi hakutakuwa na amani mimi na wewe kamwe".<br />
<br />
<b>Vitu vya kufanya:</b><br />
<br />
- Akianza vita, fanya kukubali aendelee, hii itamsaidia kuitoa kwa damu yake<br />
<br />
- Akianza drama ambayo haijulikani chanzo wewe jifanye hamnazo, na usikubali akuhusishe nayo<br />
<br />
- Toka nje ya nyumba. Fanya vitu vya kufurahisha na yeye. Mnaweza kuenda kuangala sinema, sehemu za mapumziko ama hotelini<br />
<br />
- Usionekane mtu ambaye una shauku ya kutaka kutatua matatizo yenu kwa uharaka<br />
<br />
- Mjeuzie mchezo. Waweza kumrudia drama zote kwake. mfanye aingiwe na wivu.<br />
<br />
<b>2. Mpenzi wako hana muda na wewe</b><br />
<br />
Ni kawaida kwa mtu kuwa na sababu za kuwa bize ama kuwa na shughli nyingi, lakini kama utaona ya kuwa wakati kama huu biashara zake zimeongezeka kiasi cha kuwa hana muda na wewe, ni dalili tosha kuwa anajaribu kukutenga.<br />
<br />
Kumbuka: Kama unapenda kufanya kitu ama kupenda mtu kawaida unajipa nafasi ya ili kukutana na vitu kama hivyo na si kungojea wakati mwafaka wa kupata muda. [soma: <a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-acheke.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke acheke</a>]<br />
<br />
<b>Vitu vya kufanya:</b><br />
<br />
- Kuwa mtulivu. Usipayuke wana kumlalamikia.<br />
<br />
- Mpatie nafasi. Usitumie nguvu, kumbabaikia ama kuonekana mwenye kutotosheka bila yeye.<br />
<br />
- Mwonyeshe kuwa wewe una maisha yako na huwezi kupatika masaa 24/7 (hata kama unaweza kupatikana)<br />
<br />
- Ukikutana na yeye mkumbushe kitu ambacho kilimfanya muanze mahusiano. Labda inaweza kuamsha hisia zake<br />
<br />
<b>3. Mpenzi wako amepoiteza hamu ya kufanya mapenzi</b><br />
<br />
Mpenzi wako akianza kudai ya kuwa hana mood ya kufanya mapenzi na wewe ama kuonekana hayuko mchangamfu mkiwa na yeye chumbani, uko na tatizo. Kutaka kurudisha mambo kama awali inahitaji kazi kubwa sana.<br />
<br />
Jaribu kutafuta chanzo cha nyinyi wawili kupoteza hamu ya mapenzi. Inaweka kuwa labda imetokana na:<br />
<br />
- Umekuwa mtu wa tamaa na atenshen yote inataka ielekezwe kwako<br />
<br />
- Umepoteza ubinafsi wako na maisha yako yote yamefana na yake, umepoteza marafiki wako na vitu ambavyo umekuwa ukipenda kufanya<br />
<br />
- Umepoteza umbo lako la zamani.<br />
<br />
<b>4. Miondoko yake ya mwili 'body language' inajielekeza kutoka kwako.</b><br />
<br />
Miili yetu haiwezi kuficha mambo ambayo tunapenda ama kuchukizwa nayo. Baadhi ya mambo ambayo yanawakilishwa na miondoko ya miili yetu ni kama:<br />
<br />
- Hapendi kusmama kando yako mkiwa sehemu za hadhira<br />
<br />
- Kila wakati anajaribu kujiepusha kumgusa sehemu yeyote yake ama harudi hisia wakati unapoanza<br />
<br />
- Mkiwa pamoja mnakula anaangalia madirishani na milangoni<br />
<br />
- Mkiwa mmeketi pamoja ataegemea upande wa kando na kwako na kuikumbata miguu yake<br />
<br />
- Macho yake hayaingiwi na jazba ya furaha anapokuona, na uso wake unajeuja jiwe<br />
<br />
<b>KUMALIZIA: </b>Baada ya kuorodhesha haya yote, unafaa kufahamu pia hapa duniani watu ni tofauti tofauti na tabia za mtu hubadilika kadri siku zinaposongea. Kama unaona kuwa mpenzi wako anahizi tabia tangu ukutane naye basi hio itakuwa ni swala jingine. Lakini wakati mwingi ni kuwa tabia hizi hudhahirika wakati ambapo mahusiano ya wawili yamekuwa taabani.Unknownnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8872290423271619611.post-56085888883589409372016-10-07T13:06:00.000-07:002016-10-08T00:32:54.435-07:00Tabia 12 Tata Ambazo Mwanaume Anapenda Kutoka KwakoKuna aina ya wanawake ambao kila mwanamume angependa kuwapeleka nyumbani kwao kukutana na wazazi wake. Hii ni aina ya wanawake ambao tabia zao zinapendeza na za kumfanya awe mwanamke wa ndoa ya milele. Pia kuna ile aina nyingine ya wanawake ambayo kila mwanamume angetamani kuwa nayo. Hii ni aina ya mwanamke ambayo kila mwanamume ndotoni mwake huwa anaifikiria mara kwa mara na angetamani wakati mwingine mpenzi wake kuwa na tabia hizi. Aidha aina hii ya mwanamke hairidhishi kimtazamo wa kijamii kwani inajulikana kuwa 'chafu' kwa kuwa mara nyingi huonekana kama aina ya mwanamke ambayo yeyote akiwa nayo basi milele atakuwa akiteseka kupata maisha ya umakini katika swala la kifamilia.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhl3UFOJX2sBg8OAV12D1dIraSELeOKpDSR0cptKxgxy7MsQR5kUMBh2KvkJH072uFSy_-oqI45ynofcsz1WALXSa9RzgvDg8wlC-2p7U50R3AOE5Ljf_Ccu4Hi5lpMwzcD2pxgXX0Te7g/s1600/iStock_000008701262XLarge.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhl3UFOJX2sBg8OAV12D1dIraSELeOKpDSR0cptKxgxy7MsQR5kUMBh2KvkJH072uFSy_-oqI45ynofcsz1WALXSa9RzgvDg8wlC-2p7U50R3AOE5Ljf_Ccu4Hi5lpMwzcD2pxgXX0Te7g/s1600/iStock_000008701262XLarge.jpg" width="266" /></a></div>
<br />
Tatizo kuu ya mwanamke mwenye tabia chafu ni kuwa anaweza wakati wowote kuiteka hisia ya mwanamume yeyote hivyo basi kama mwanamke haufai kuacha pengo ambalo linaweza kukufanya wewe kupokonywa umpendaye kwa urahisi. Lazima pia kama mwanamke mzuri ujifunze baadhi ya tabia hizi chafu (wanaume tayari wanazipenda) ili iwe kinga kwako kutokana na yeyote yule ambaye anayeweza kuitatiza himaya yako. Hapa tumeweka tabia 12 za mwanamke mchafu ambazo kiloa mwanamume anazipenda.<br />
<br />
<b>1. Mwanamke Mtundu</b><br />
Mwanamke mchafu si yule ambaye anajificha kuonyesha mambo yake anayoyafanya. Hawezi kujifanya kuwa hapendi kuangalia filamu za ngono, ama kuona haya/uoga wa kujaribu mitindo mipya ya kufanya mapenzi. Aina hii ya mwanamke huyafanya maisha ya mapenzi kwa mwanamume yeyote kuwa ya kufurahia na hakuna wakati yatakuwa yanaboa hata mara moja. So lazima ujifundishe jinsi ya kuutumia ujanja huu.<br />
<b><br />2. Yuko sexy</b><br />
Vile ambavyo unavaa kuna umuhimu sana kwa mwanamke. Kujifunika maleso nyakati zote ama kufaa nguo nzito nzito si vibaya kwa mwanamke, lakini pia fahamu kuwa kuna nguo ambazo ukizivaa zitamvutia mwanamume. Jaribu kuvaa nguo ambazo zaweza kumfanya mwanamume kuingia na hisia papo hapo.<br />
<b><br />3. Anapenda kujaribu mambo mapya</b><br />
Mwanamke mchafu kawaida hajizuii kufanya mambo ambayo hajayaribu kufanya maishani. Mwanamke kama huyu angependa kujaribu chochote kile hata kama ni mara moja. So kama mwanamke, chukua nafasi kama hii ujitokeze kwa dunia ujaribu mambo ambayo ungependa kuyafanya lakini unaogopa.<br />
<br />
<b>4. Wanapenda kusuka</b><br />
Wanawake wachafu wakati mwingine wanaweza kuwa kama mashetani vile ambao wanaijua sanaa ya kutongoza na kutumia lugha ya ushawishi kwa mwanamume yeyote bila wao kuonyesha azima yao ya kufanya hivyo. Ni wanawake ambao wanafurahisha, wanajua kutumia maujanja na kuzungumza utamu kimapenzi. Wanaweza kumfanya mwanamume yeyote kupandwa na hisia za mapenzi bila hata kuwagusa.<br />
<b><br />5. Anasimama kujitetea yeye mwenyewe</b><br />
Mwanamke huyu kwa kawaida anajiamini yeye mwenyewe na kwa kawaida atafanya juu chini kuhakikisha lile ambalo analotaka kutimiza limetimia. Hatazuiwa na yeyote yule. Yeye hatahitaji usaidizi kutoka kwa mwanamume yeyote ili kufanikisha azma yake.<br />
<b><br />6. Yeye ni yeye</b><br />
Mwanamke aina hii hahitaji lazima aitikie yale ambayo yanahitajika katika jamii. Si lazima ya yeye kujitweka majukumu ama kufuata masharti na sheria za jamii. Anajua kuwa wengine wanamjua. Lakini ukweli ni kuwa ndani ya mioyo ya watu anaoishi nao, kuna wengine wangetamani kuwa kama yeye ama wengine wangetamani kuwa naye kando yao.<br />
<br />
<b>7. Hapaki mafuta kwa mgongo wa chupa</b><br />
Mwanamke wa kawaida atamshika mwanamume mkono na kumwambia kuwa kila kitu kiko sawa ilhali mambo yanaharibika. Mwanamke mchafu yeye haogopi kukabiliana na ukweli, kama kuna tatizo atamwambia ukweli mwanamume ili tatizo kama hilo walitatue mwishoni.<br />
<b><br />8. Ni mwanamke ghali kumtunza</b><br />
Wanaume wangependa kuwa na wanawake ambayo ni rahisi kwao kuwatunza. Lakini wanatamani zaidi kum-maintain mwanamke ambaye ni ghali zaidi akiwa faraghani. Ukweli ni kuwa kila mwanaume ndoto yake ni kuona kuwa ana mwanamke ambaye anatumia hela nyingi kutoka kwake hata kama hana uwezo kama huko.<br />
<br />
<b>9. Wanawake wachafu hawajiachilii hivi hivi</b><br />
Wanawake wengi wa kawaida mara nyingi hujiachilia pindi wanapoingia katika uhusiano mrefu na mwanamume. Hii inamaanisha kuwa wanaacha tabia za kawaida za kujipodoa na kujirembesha. Baada ya muda utapata kwamba amejiachilia kiasi cha kuwa anaanza kuwa na mafuta mengi mwilini...wanakuwa kama kile kibonzo cha Michelin Tyres. Kwa wanawake wachafu, hii ni kinyume yake kwani hakuna siku atasahau make up wala vipodozi kwani anafahamu mchezo mzima.<br />
<br />
<b>10. Wanasema "SITAKI"</b><br />
Wanaume hawapendi kusikia mwanamke yeyote akichukua misimamo mikali kwao. Lakini baada ya muda flani atachukuliwa kuwa ni mwanamke asiyetaka kuchezewa na wakati wote yeye yuko serious na mambo yake. Mwanamke wa kawaida kwa kuwa hataki kumkosea mwanamume anabakia kukubali chochote kile ambacho ataambiwa na mwishowe kufanywa zuzu ama kuchezewa na mwanamume.<br />
<br />
<b>11. Hangojei miujiza itendeke</b><br />
Yeye ndio hufanya hio miujiza. Hawezi maisha yake yote kungojea yule ambaye atakuja kumtatulia shida ama matatizo yake. Aidha yeye atapambana na dunia kuhakikisha kuwa ametatua matatizo yake, akiwa na usaidizi wa mwanamume yeyote ama yeye mwenyewe.<br />
<br />
<b>12. Anajiamini kupindukia</b><br />
MWanamke huyu anajiamini kupindukia kiasi cha kumfanya mwanamume kuingiwa na woga wa kutaka kumridhisha zaidi. Chochote atakachofanya kuwa anajiamini na kila mtu anamheshimu kwa aina hio ya tabia.<br />
<br />
Well, hapo juu ni baadhi ya tabia ambazo zinamfanya mwanamke mchafu kuwapendeza wanaume. Kujiamini na kujifahamu ndio mpango mzima ambao mwanamke huyu anatumia ili kuitawala himaya yake. Hivyo basi kama wewe ni mwanamke wa kawaida unafaa atleast ufanye kuapgrade mchezo wako ili uhakikishe kuwa hujaachwa nyuma.Unknownnoreply@blogger.com